Hapa mzee amezingua kinyama. Aambiwe tu asifanye issue kuwa ya jamhuri wakati ni family matters

Hapa mzee amezingua kinyama. Aambiwe tu asifanye issue kuwa ya jamhuri wakati ni family matters

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Inatokea mtu unaenda kistaarabu unamwambia mzee. Nigee changu nikafie mbele. Mnasumbuana sumbuana kwa shingo upande unachukua unalala mbele.

Sababu mzee alikuwa mzembe hakukufundisha namna ya kutunza na kuzalisha mali. Unapotezea kwa mademu . Unawalamba kinyama aisee...kula sana michembe na vibambala.

Pesa bahati mbaya inakata. Ila unakuwa umejifunza kitu. Unarudi home kupiga make up test. Unakuta mzee bado anazo unamwambia mzee nipatie sehemu ya mali nikawagawie maskini. Eti mzee anazingua.wakati mali unaiona bado ye anayo. Ukikaza kidogo na kumtikisa. Anadai umempiga umemjeruhi sana.

Kumbe wala. Ni kishkaji tu pasipo hata madhara makubwa. Anaishia kukukana. Huwezi ikana damu yako bwana. Na haya mambo mnayataka wenyewe sometimes. Mtu mpaka unatoa tangazo kama mtoto kaua anatafutwa na popies. Huo ukale achaneni nao. Mpatie mtoto sehemu ya mali ale maisha..


Screenshot_2022-10-30-04-38-13-277_com.twitter.android~2.jpg
 
Inatokea mtu unaenda kistaarabu unamwambia mzee. Nigee changu nikafie mbele. Mnasumbuana sumbuana kwa shingo upande unachukua unalala mbele...
Jitokeze mwamba ukwarane na "pople hooz"?Usilete jakubumba.Lazima ukadoro mung'anda!😂😂😂😂😂
 
Umbwa tu unataka Mali Ambazo hujashiriki kuzitafuta Kama sio Umbwa ni nini?
 
Umbwa tu unataka Mali Ambazo hujashiriki kuzitafuta Kama sio Umbwa Ni Nini?
Kwani nlishiriki kuzaliwa? Mbwa wewe na wazazi wako. Binadamu anapozaliwa ana haki ya kurithi kutoka kwa aliyemleta duniani.
 
Namjua vizuri huyu jamaa
Ni mtoto wa kessy buibui
Baba yake ndiyo mwenye buibui
Guest house naye namjuwa vzr tu
Kwa kifupi huyu mtoto ni mzinguaji

Ova
Why? We ni mustafa au juma kokolo? Maana hao najua wapo humu JF
 
Why? We ni mustafa au juma kokolo? Maana hao najua wapo humu JF
Namjua vzr mzee kessy
Wakati wa sabasaba ukiona wanyama
Pori huko jua yeye ndy alikuwa anawapeleka
Sema sahv mzee kessy najua anaumwa....ila kwenye issue hii lazima kuna ktu kizito nyuma
Sema mzee kessy naye mtata sana
Ngoja nikifika mjini kwenu dsm
Ntamtafuta na kuzungumza naye

Ova
 
Back
Top Bottom