Hapa nachanganyikiwa Sana. Sielewi kwa kweli

Hapa nachanganyikiwa Sana. Sielewi kwa kweli

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hivi samaki ni Halal kuliwa kwake au si halal? Maana huwa naona wanajifia wenyewe tu.

Hawachinjwi. Na vitabu vinataka tule mnyama aliye chinjwa sasa hapo wadau inakuaje?

Maana mimi huwa nasita sana. Naona tunakula kibudu.
 
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia

Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke

Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
 
Maji ya Bahari au ziwa ni twahara na maiti yake ni halali kabisa. Hivyo samaki ni halali kuliwa pamoja na kujifia mwenyewe.

Twahara ina maana gani?
Maana yake yana uwezo wa kuondosha uchafu au najisi.
 
Hivi samaki ni Halal kuliwa kwake au si halal? Maana huwa naona wanajifia wenyewe tu.

Hawachinjwi. Na vitabu vinataka tule mnyama aliye chinjwa sasa hapo wadau inakuaje?

Maana mimi huwa nasita sana. Naona tunakula kibudu.
una mstari kwenye bible Yesu alienda kuvua samaki, naamini unamaanisha kama Yesu alikula basi na wakristo kula poa tu
 
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia

Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke

Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Kwa hiyo Nguruwe havutii??
 
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia

Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke

Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Oooooh.... Nipatie na mstari sheikh ili niwe na amani kabisa....maana...huwa naona kama nakosea sana.
 
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia

Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke

Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Hapo kwenye kuvutia au kuwa kizuri ni neno pana sheikh. Maana nina swahiba wangu anahalalisha hata ulaji wa Nyama ya Nguruwe huwa simwelewi kabisa. Na ya Ngamia anakula. Mimi zote mbili nashindwa.
 
Hivi samaki ni Halal kuliwa kwake au si halal? Maana huwa naona wanajifia wenyewe tu.

Hawachinjwi. Na vitabu vinataka tule mnyama aliye chinjwa sasa hapo wadau inakuaje?

Maana mimi huwa nasita sana. Naona tunakula kibudu.
Mkuu kwa sisi Waislam hakuna shida kula samaki hata kama wamejifia wenyewe.

Kwa maana wanyama wengine tunawchinja kuondoa ile damu inayotiririka miilini ambapo ukiwachinya damu ile kwa msaada wa mapigo ya moyo inatoka na sumu nyingi mwilini na kuiacha nyama kuwa laini na inayoweza kukaa muda mrefu kabla ya kuandaliwa kwaajili ya kula.

Ila samaki hana damu ya namna hiyo, hivyo hatuna sababu ya kumchinja kuiondoa damu inayotiririka.

Kula samaki mkuu,
Samaki wana Omega 3, wana Vitamin D na B2, pia wana madini ya Calcium, Chuma, Potassium, Magnessium na Zinc.

Ulaji wa samaki hupunguza hatari ya kupata shambulio la moyo, unaboresha uwezo wa macho kuona, unapunguza hatari ya kupata saratani, unasaidia kutibu maradhi ya ini, na pia unaongeza afya ya ubongo.

Mkuu kula samaki walau mara mbili kwa wiki.
 
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia

Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke

Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Kama kuvutia tu,paka anavutia sana

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom