Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Anavutia lakini sio halali
Maana kuvutia vinavutia vingi ila vinakya sio halalu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anavutia lakini sio halali
Jua siku zote linachomozea kule kule na kuzama kule kule MKUU [emoji16]Na ukigeuka upande mwingine kushoto inakuwa kulia na kulia inakuwa kushoto
Nguruwe ametajwa kwenye quran kwamba ni haram isipokuwa katika mazingira maalum.Kwa hiyo Nguruwe havutii??
Inategemea unaliangalia ukiwa umegeukia wapiJua siku zote linachomozea kule kule na kuzama kule kule MKUU [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Isome tena reply yang utaielewaHapo kwenye kuvutia au kuwa kizuri ni neno pana sheikh. Maana nina swahiba wangu anahalalisha hata ulaji wa Nyama ya Nguruwe huwa simwelewi kabisa. Na ya Ngamia anakula. Mimi zote mbili nashindwa.
Tunakoelekea ttutaomba hadi mahindi yawe yanachinjwa kabla ya kupikwa na kuliwa.Hivi samaki ni Halal kuliwa kwake au si halal? Maana huwa naona wanajifia wenyewe tu.
Hawachinjwi. Na vitabu vinataka tule mnyama aliye chinjwa sasa hapo wadau inakuaje?
Maana mimi huwa nasita sana. Naona tunakula kibudu.
Isome tena reply yang utaielewaHapo kwenye kuvutia au kuwa kizuri ni neno pana sheikh. Maana nina swahiba wangu anahalalisha hata ulaji wa Nyama ya Nguruwe huwa simwelewi kabisa. Na ya Ngamia anakula. Mimi zote mbili nashindwa.
Hata ukiliangalia ukiwa wapi jua litazamia magharibi nakuchomozea mashariki tu MKUUInategemea unaliangalia ukiwa umegeukia wapi
Avutie kwani yule ni mwanamke!!??Najisi yule havutii chochote!
Kwa nini asile nyama ya binadamu mwenzie?..unafata propaganda za nani!?..walaji wa nyama ya binadamu wanasema tamu Sana,hasa vidole vya mikono ukilia ndizi,mwache ale ya binadamu maadhali Hana miiko!!Kula kila nyama na kila mnyama anayepatikana hapa Duniani kasoro nyama ya mwanafamu mwenzio tu.Achana na hizo propaganda za biblia na Quran
Kwanza ras gani wewe mla nyama Rasi njaa tu.Avutie kwani yule ni mwanamke!!??
mkaldayo mtu koko sana
Sili nyama mimi ni vegetarian pia ni pescatarian/ mlaji samakiKwanza ras gani wewe mla nyama Rasi njaa tu.
Magharibi na mashariki ni majina tu waliotunga binadamu.Hata ukiliangalia ukiwa wapi jua litazamia magharibi nakuchomozea mashariki tu MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana Ndege JohnWakorintho 6:12
12Mambo yote ni halali kwangu, lakini si mambo yote yenye faida. Mambo yote ni halali kwangu, lakini sitaruhusu kitu chochote kinitawale.
Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia
Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke
Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Kwa hiyo kitimoto akifia baharini si anakua ameondolewa najisi?Maji ya Bahari au ziwa ni twahara na maiti yake ni halali kabisa. Hivyo samaki ni halali kuliwa pamoja na kujifia mwenyewe.
Twahara ina maana gani?
Maana yake yana uwezo wa kuondosha uchafu au najisi.
Hapa kaongelea mbususu ndio maana kafa na utamu wakeWakorintho 6:12
12Mambo yote ni halali kwangu, lakini si mambo yote yenye faida. Mambo yote ni halali kwangu, lakini sitaruhusu kitu chochote kinitawale.