Nguruwe anaishi na binadamu.Kwa hiyo kitimoto akifia baharini si anakua ameondolewa najisi?
Ni nani?Samaki sio mnyama
Kwani unamlia majini? Si unamvua haraka haraka unamchinja?Mkuu samaki utamchinjaje wakati yupo kwenye maji??
Dagaa? Au nao ndio samaki tu!?Kama muislam tumehalalishiwa kula kilicho halali na kizuri pia chenye kuvutia
Wakat huo huo waislam tumeruhusiwa kula maiti mbili samaki na nzige hawa ukikuta wamekufa maadam hawajaoza wewe wapeleke
Kama sio MUISLAM unisamehe MKUU
Hahahaaaa, chap chap unamuelekeza kibra..Kwani unamlia majini? Si unamvua haraka haraka unamchinja?
We jamaa..
Paka anasura nzuri sheikh si vizuri kumuua... Huwa namtizama. No sahihi kabisa kumuua.
Siunasema awe hai??Kwani unamlia majini? Si unamvua haraka haraka unamchinja?