Hapa nani boya?

Hapa nani boya?

Cytochrome p450

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
5,638
Reaction score
15,044
Nikiwa kwenye daladala nyuma kabisa, pembeni yangu kuna mkaka akifuatiwa na mdada.

Actually mimi ndio niliowakuta, na katika kucheki mazingira kwa haraka haraka inaonekana kama kulikua na mazungumzo kabla.

Anyways, punde jamaa akatoa noti ya elfu 10 mfukoni kisha akaiandika namba ya simu juu yake na kumpatia yule mdada.

Kituo kilichofuata yule mdada ikasimama na kuelekea mlangoni kwa konda.. Si akatoa ile elfu 10! Konda akawa analalamika kwanini hajatoa pesa ya chenji mapema!

Namuangalia jamaa naona kabaki anashangaa tu!

Sasa hapa boya ni nani wakuu?

(NB: Picha haihusiani na tukio)
20231230_142616.png
 
Hapo boya ni shetani, aliewatia ny*ge safarini.
 
Nikiwa kwenye daladala nyuma kabisa, pembeni yangu kuna mkaka akifuatiwa na mdada.

Actually mimi ndio niliowakuta, na katika kucheki mazingira kwa haraka haraka inaonekana kama kulikua na mazungumzo kabla.

Anyways, punde jamaa akatoa noti ya elfu 10 mfukoni kisha akaiandika namba ya simu juu yake na kumpatia yule mdada.

Kituo kilichofuata yule mdada ikasimama na kuelekea mlangoni kwa konda.. Si akatoa ile elfu 10! Konda akawa analalamika kwanini hajatoa pesa ya chenji mapema!

Namuangalia jamaa naona kabaki anashangaa tu!

Sasa hapa boya ni nani wakuu?

(NB: Picha haihusiani na tukio)
View attachment 2857387
Kmmk 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom