DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
π€£π€£π€£π€£πππ niache bhana SITAKIIIIIIIIII ππππππππEducation is better than money..
If your are money but not your head education yoo can not control your money and money you lost.
Becouse your helper do thief you money and your cant count money
Thank you time keeper and chairperson
Kiingereza cha Watanzania ndio maana Kenya wanatukejeli bora wange andikiana kwa kiswahili
Cheki chuma hiki chini:-Kweli Kingereza sijui, hapo madam ndio kaomba namba za simu?
Kama hapo hujaelewa kilichomanishwa bas wewe ndo unashida na shida yako ni ujuaji
Kwani hapo haujaelewa niniKiingereza cha Watanzania ndio maana Kenya wanatukejeli bora wange andikiana kwa kiswahili
LECTURER: HABARI YA ASUBUHI CR, UNGEWEZA KUNIPATIA NAMBARI ZA MAKUNDI YA WANAFUNZI ILI NIWEZE KUWAPANGIA KAZI ZA MAKUNDI.
Uko sahihi na hii ndio tafsiri yake.LECTURER: HABARI YA ASUBUHI CR, UNGEWEZA KUNIPATIA NAMBARI ZA MAKUNDI YA WANAFUNZI ILI NIWEZE KUWAPANGIA KAZI ZA MAKUNDI.
CR: SAWA MADAMU,,,KUNA WATU BADO SIJAMALIZA KUWAWEKA KWENYE MAKUNDI, TAHADHARI NIPE MUDA LEO NIWAWEKE KWENYE MAKUNDI HALAFU NITAYATUMA KWAKO MADAMU.
KweliUko sahihi na hii ndio tafsiri yake.
Asiyeelewa kilichoongelewa pale ndio ana matatizo kwa kutaka kila mtu aongee maneno aliyoyakariri yeye
Huyu nae ahamishiwe hiyo shule akaungane naoHajaomba namba za simu mbona
SASA ULIPATAJE DIVISHENI FOO.Alitakiwa aseme hivi:
"Send me students' contacts or send me the list of class groups."
Na yeye ajibu hivi:
"We haven't yet arranged the groups, kindly give us sometime and i will provide the list."
Hebu wakwende huko na vingereza vyao vya UKWAJU wanatusumbua tu.
PLEASE MADAM, PLEASE MADAM. Hizo madam zimekuwa nyingi kuliko kizungu.
Hapa hakuomba number za simu!. Aliomba idadi ya makundi yaliyoopo ili ayutumie kwenye hiyo assignment kama alivyosema.Hapo ni lugha gongana.
Mwenzake anaomba namba za simu, mwingine anataka kupanga magroup.
Yes Madam, THANK YOU MAJORITY, THANK YOU TIME KEEPER
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Kalpana
Una uhakika wewe ndio umeelewa ? Binafsi naamini ni vema ukijua haujaelewa (ambiguity) kuliko kudhani umeelewa hivyo kulifanyia kazi jambo na kupoteza muda wakati huenda ungeuliza for clarification ungeokoa muda wako na wake...Hapo ni lugha gongana.
Mwenzake anaomba namba za simu, mwingine anataka kupanga magroup.
Yes Madam, THANK YOU MAJORITY, THANK YOU TIME KEEPER
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Kalpana
Km wameelewana imetosha... Hiyo ni lugha tu km kilivo kichina au kifaransa! Cha msingi the message has been delivered successifully
Walinisingiziaa.SASA ULIPATAJE DIVISHENI FOO.
Sidhani kama kuna anayeomba namba za simu. Wote wameelewana sema CR ndo kiingereza kina shida kidogo. Ila la msingi wameelewana first year aache mbwembweHapo ni lugha gongana.
Mwenzake anaomba namba za simu, mwingine anataka kupanga magroup.
Yes Madam, THANK YOU MAJORITY, THANK YOU TIME KEEPER
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Kalpana