edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Sawaa tutajitaidii mkuuFanyeni hata mchana bro usiku nakua nimetoka kupiga nyero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawaa tutajitaidii mkuuFanyeni hata mchana bro usiku nakua nimetoka kupiga nyero
Nifanyaje sasa bro, demu mpaka nimsemeshe inaenda wiki hautumi message na mimi nimeamua situmi nione mwisho wake ni nini? Naamini kama ananipenda lazima angenisemeshaUkitaka mapenzi yadumu, jishushe na kujionesha unajali.
Lakini kila mmoja akijiona hababaishwi na mwenzake, penzi hilo lazima life kifo cha kawaida.
Mkilivunja penzi kipumbaf, huwakuna madhara kisaikolojia kwenda kuanzisha penzi jipya.
Utaenda kufanywa mtumwa wa mapenzi ili kumuonesha 'dear x' wako kuwa umemove on na upo imara kimahusiano, ndipoyalipo madhara menyewe na huo ndiyo utumwa.
Sawa mwenyekitiSawaa tutajitaidii mkuu
Nahitaji ushaur, demu nampenda ila kwa hali iliofikia nitaachana naeUkiona unamfungulia thread bhasi umekamatika. Mkuu pole sana
Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie. Huyo mtafutie msaidizi chap ndo atakuwa sawaWadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,
Yes bro na mimi Nimewaza nifanye hivyo na atajuta sio kwa upendo ule niliompaDawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie. Huyo mtafutie msaidizi chap ndo atakuwa sawa
Nini hicho broKwan Majununu Umeshampatia😃
Nipee namba yake nimulize kama ana mpz nione atanijibu nn than nitakuambiaNiachane nae
Huyu mwenzake
Nitafanya hivyo nisiendelee kujiumizaKama vipi achana naye.
Nd'onimeshasema mmoja wenu lazima ajishushe na kubembeleza nwingine.Nifanyaje sasa bro, demu mpaka nimsemeshe inaenda wiki hautumi message na mimi nimeamua situmi nione mwisho wake ni nini? Naamini kama ananipenda lazima angenisemesha
Njoo inbox nitashukuru ukinisaidia kwa hiliNipee namba yake nimulize kama ana mpz nione atanijibu nn than nitakuambia
Kujishusha nimejishusha sanaa pamoja na kugombana kwetu asilimia kubwa yeye alisababisha ila mimi ndio nimechukua jikumu la kuomba msamaha lakini wapi habadiliki, basi Sawa bro mimi namtema na ikiwezekana nafuta na nambaNd'onimeshasema mmoja wenu lazima ajishushe na kubembeleza nwingine.
Lakini ukiona umejishusha na harudi katika hali ya mwanzo, elewa kuna shida kwenye mahusiano hayo.
Uamuzi uliopanga kuufanya kama ulivyoandika kwenye thread ndiyo sahihi zaidi.
MizagamuoNini hicho bro
Mkuu sepa kabisa hapo hamna kituNiachane nae
Huyu mwenzake
Heri ungebaki na ephen_ tuHabari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,
Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,
Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
Sawa ila nampenda sanaMkuu sepa kabisa hapo hamna kitu
Ukidhamiria kuachana na mtu hutohitaji ushauri..Nahitaji ushaur, demu nampenda ila kwa hali iliofikia nitaachana nae