Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
- Thread starter
-
- #41
Kwa bedi nina kipaji balaaHuyu hajui kuandika simulizi kama wewe.
Hapana nahitaji ushauri nijue pengine mimi ndie mwenye makosaUkidhamiria kuachana na mtu hutohitaji ushauri..
Mbona mna complicate maisha. Huyo hana interest wee saka mbususu nyingine. Vipi hukuwa na back up?Habari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,
Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,
Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
Wewe ni jeuri? Ndio maana unakaushiwa wakati wenzio tunaamshwa tuwahi kaziniWewe mwanamke unafanya nini saizi
Ipo moja nilikua napotezea nataka niruke nayoMbona mna complicate maisha. Huyo hana interest wee saka mbususu nyingine. Vipi hukuwa na back up?
Usijidanganye kuwa na mwanamke mmoja tuu
Pole kumbe unapendwa kisa kazi? Mdanganye umefukuzwa kazini uone kama atabaki na wewe hata kwa wikiWewe ni jeuri? Ndio maana unakaushiwa wakati wenzio tunaamshwa tuwahi kazini
Usidanganyike bro mwanaume rijali wanawake watatu minimum.Ipo moja nilikua napotezea nataka niruke nayo
Sasa bila kazi wewe na demu wako mtakula mapenzi?Pole kumbe unapendwa kisa kazi? Mdanganye umefukuzwa kazini uone kama atabaki na wewe hata kwa wiki
Sawa nitahakikisha hilo, nipe na mbinu za kuishi na wanawake je nionyeshe upendo sana au niwe bad boymkatili?Usidanganyike bro mwanaume rijali wanawake watatu minimum.
Nipe mbinu za kumfanya mwanamke achanganyikiwe kwakoSasa bila kazi wewe na demu wako mtakula mapenzi?
Hapana nahitaji ushauri nijue pengine mimi ndie mwenye makosa
Tatizo lako hela huna.Sawa nitahakikisha hilo, nipe na mbinu za kuishi na wanawake je nionyeshe upendo sana au niwe bad boymkatili?
Wee wanawake chukulia kama chombo cha starehe tuu mwanawane anytime unamtupa huko ukishamtumia.Sawa nitahakikisha hilo, nipe na mbinu za kuishi na wanawake je nionyeshe upendo sana au niwe bad boymkatili?
yaani hauamini kuwa hakupendi, au 😛Habari,
Kuna mdada nilikua nae kwenye mahusiano ni kama kwa miezi tisa ikatokea tumegombana tukakaliana kimya kwa one month baada ya hapo nikaona turudiane ila amekua tafauti hataki kuanza kunisemesha hata "hi" tu, yani mpaka mimi nianze kumsemesha,
Wadau niambieni hapa napendwa kweli au ananipenda ila hataki kuonekana "low class", akiendelea hivi natafuta mwingine yeye nitamueka pending siku nikimhitaji namcheki,
Ni raha sana kuona mpenzi wako anakusemesha sio wewe kila siku unamsemesha yeye kauchuna
Niachane nae? Kiasi flani siamini maana tulioendana sanaa enzi zetu penzi limenogayaani hauamini kuwa hakupendi, au 😛
Niachane nae?Mapenzi ni kama ushuzi...ukilazimisha utajinyea.....
Basi nitakua natafuta demu nikikaa nae kama 4 months namtema, Asante bro nitalifanyia kaziWee wanawake chukulia kama chombo cha starehe tuu mwanawane anytime unamtupa huko ukishamtumia.
Wee usionee hutuma mwanamke maana wao wakishatumia hela zetu na kuzimaliza wanatubwaga.
Dunia ya sasa mwanamke na mwanahme ni kutumiana tuu na kuliana timing
Kiaje blazaJiongeze