Hapa napendwa kweli?

Mbona mna complicate maisha. Huyo hana interest wee saka mbususu nyingine. Vipi hukuwa na back up?
Usijidanganye kuwa na mwanamke mmoja tuu
 
Hapana nahitaji ushauri nijue pengine mimi ndie mwenye makosa

Ndio maana nikasema bado hujadhamiria,

wewe ndio upo kwenye hayo mahusiano kwa hiyo unayajua vyema. Kama kuna kisana huitaji kuambiwa ni kibaya. Kiufupi bado hujachoka na unamuhitaji ndio maana unatamani watu wakuambie yupo sawa umvumilie
 
Sawa nitahakikisha hilo, nipe na mbinu za kuishi na wanawake je nionyeshe upendo sana au niwe bad boymkatili?
Wee wanawake chukulia kama chombo cha starehe tuu mwanawane anytime unamtupa huko ukishamtumia.
Wee usionee hutuma mwanamke maana wao wakishatumia hela zetu na kuzimaliza wanatubwaga.
Dunia ya sasa mwanamke na mwanahme ni kutumiana tuu na kuliana timing
 
yaani hauamini kuwa hakupendi, au 😛
 
Basi nitakua natafuta demu nikikaa nae kama 4 months namtema, Asante bro nitalifanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…