Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,713
- 3,559
Baraka ni nini? Kwanini ni muhimu kwako? Wapi kwingine umepata baraka mpaka ukaona bado hujapata za Mungu tu?!Sijawahi kupata baraka ya aina yoyote kutoka kwa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baraka ni nini? Kwanini ni muhimu kwako? Wapi kwingine umepata baraka mpaka ukaona bado hujapata za Mungu tu?!Sijawahi kupata baraka ya aina yoyote kutoka kwa Mungu.
Huwezi kukosoa pasipokuwa na kosa, wewe unasema upo humu ili kukosoa ndio maana nikakuuliza je wewe upo sahihi?Habari za usahihi umeleta wewe.
Kwa hivyo wewe ndio una jukumu la kuelezea huo usahihi.
Kosa ni nini?Huwezi kukosoa pasipokuwa na kosa, wewe unasema upo humu ili kukosoa ndio maana nikakuuliza je wewe upo sahihi?
Usahihi ni hali ya kutokuwa na makosa,ukweli.
Je unachosimamia wewe hakina makosa, ni ukweli?
Sawa. Siku njema.Nimegusa hilo moja kwa sababu ndio nimeona kitu kipya kwangu tofauti na hayo mengine ambayo tushaona yakielezwa sana humu, ila kama unaona nalazimika kukujibu yote kwa wakati mmoja kinyume na hivyo nakuwa nakupotezea muda basi acha nisipoteze muda wako mkuu.
Ni wazo,tendo au jambo lillilo kinyume na kanuni,taratibu au sheria.Kosa ni nini?
Kwa hivyo nikisema hakuna Mungu ni kosa?Ni wazo,tendo au jambo lillilo kinyume na kanuni,taratibu au sheria.
Imani ya uwepo wa Mungu kila siku inakosolewa na ndio maana hata wewe ukasema upo hapa kukosoa, hiyo sio shida ila mimi nikaamua tu kukuuliza je wewe(atheist) unadhani upo sahihi?Kwa hivyo nikisema hakuna Mungu ni kosa?
Ila wewe ukisema kuna Mungu sio kosa sio?
Ndio nipo sahihi.Imani ya uwepo wa Mungu kila siku inakosolewa na ndio maana hata wewe ukasema upo hapa kukosoa, hiyo sio shida ila mimi nikaamua tu kukuuliza je wewe(atheist) unadhani upo sahihi?
Vp uthibitisho ukija kupatikana je uongo utabadilika kuwa ukweli? Au hufikirii kuwa inaweza kuja kupatika uthibitisho?Ndio nipo sahihi.
Kwa sababu hakuna uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu.
Kwa hivyo imani ya kusema kuna Mungu ni uongo.
Kwa hiyo mlianza na uongo kwamba Mungu yupo bila uthibitisho?Vp uthibitisho ukija kupatikana je uongo utabadilika kuwa ukweli? Au hufikirii kuwa inaweza kuja kupatika uthibitisho?
Mimi nachofahamu kukosekana uthibitisho tuhakufanyi jambo kuwa uongo bali inakuwa limekosa uthibitisho ndio maana kuna mambo mengi mifano mingi tu ya mambo ambayo hayakuwa na uthibitisho ila baada muda yakaja kuthibitishika. Ila kwakuwa wewe unasema jambo likiwa halina uthibitisho linakuwa moja kwa moja ni jambo la uongo ndio maana nikauliza je endapo siku ikaja kutokea kupatikana huo uthibitisho je uongo utageuka na kuwa ukweli?Kwa hiyo mlianza na uongo kwamba Mungu yupo bila uthibitisho?
Halafu bado unakataa kwamba Mungu hayupo?
Kumbe unajua kwamba kusema Mungu yupo bila uthibitisho ni uongo.
Sasa usibishe tena kwamba Mungu hayupo, Kama huna uthibitisho wa uwepo wake.
Wewe uliwezaje kujua Mungu yupo bila uthibitisho?Mimi nachofahamu kukosekana uthibitisho tuhakufanyi jambo kuwa uongo bali inakuwa limekosa uthibitisho ndio maana kuna mambo mengi mifano mingi tu ya mambo ambayo hayakuwa na uthibitisho ila baada muda yakaja kuthibitishika. Ila kwakuwa wewe unasema jambo likiwa halina uthibitisho linakuwa moja kwa moja ni jambo la uongo ndio maana nikauliza je endapo siku ikaja kutokea kupatikana huo uthibitisho je uongo utageuka na kuwa ukweli?
Kwa sababu atheists wanasisitiza kuwa hawaamini Mungu kwa sababu ya kutokuwepo uthibitisho ila wewe unasema kutokuwepo kwa uthibitisho hufanya hilo jambo kuwa ni uongo.
Swali langu mbona haulijibu mkuu?Wewe uliwezaje kujua Mungu yupo bila uthibitisho?
Ulifikaje conclusion kwamba kuna Mungu, Bila ya kuwa na uthibitisho wowote wa kuwepo huyo Mungu?
Hata mimi najua Mungu hayupo kupitia uhalisia.Swali langu mbona haulijibu mkuu?
Mimi najua Mungu yupo kupitia imani, na zipo sababu na dalili zenye kufanya niamini hivyo.