Hapa ndio ninapokuwa na walakini na uwepo wa Mungu

Hapa ndio ninapokuwa na walakini na uwepo wa Mungu

Hivi hujui kupinga, ni kuwapa watu curiosity ili wajue hicho unacho kipinga??.

halafu kwanini utahadharishe, Kama vile ni mawazo mabovu yenye kudhuru??
Wakati ni chanzo Cha mijadala yenye kuelimisha!
Ndio yanadhuru na mpaka na sema hivi naelewa nacho kisema.

Kuna msemo ukikaa karibu na uwaridi lazima utanukia,
 
Mimi naona kheri hao kuliko sisi tunaoamini uwepo wa Mungu lakini tunachukiana wazi Kwa kigezo Cha Imani Kila mtu kujiona Bora kuliko mwenzio nyuzi hizo ndo zinaongoza Kwa maneno yasiyo na staha na hoja za kukashfiana
 
Habari za siku ya leo WanaJamiiForums?

Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.

Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.

Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).

Ni hayo tu
Mungu atabaki kuwa Mungu utake usitake! Uamini usiamini! Nakuuliza, unawatoto? Ujui changamoto za wanao nyingine wamezirithi kutoka kwako? Umasikini au utajiri wa wanao unatokana na wewe na kama wewe ni kapuku uwe na uhakika na wanao watakuwa kapuku wakati hawajatenda dhambi! Wamerithi shida kutoka kwako. Na wewe madhia unayopitia umeyarithi kutoka kwa wazaz! Kama wazazi wako wapo chukua bakola watembezee kichapo! Kama hawapo tandika walikolala! Ubaya ubwela!
 
Tafuta Kazi yoyote hapo Kwenye yoyote ndio utaona msaada wa Mungu sababu utapata vitu unavyotaka kwa kiwango chako bila kuumiza kichwa sanaaa kama unavyosema hujawahi kusaidiwa na Mungu ,usikute unalala ndani tuu hutaki kujishughulisha unataka vitu vikukute kitandani au Kwenye vijiwe visivyo kuwa na maana hapo unapoteza muda bure Maisha lazima upigane na Utamshukuru Mungu kwa Kila Ki2 ,Usije ukadanganywa kwenye Mind set yako kwamba Kila ki2 kinakuja Chinyewe bure bure lazima Jasho likutoke kweli na Akili iume hakuna cha Bure chini ya Jua ,LA SIVYO UTAMKUFURU MUUMBA NA UTAPATA LAANA USIYO IWEZA KUSTAHIMILI.
 
Mimi naona kheri hao kuliko sisi tunaoamini uwepo wa Mungu lakini tunachukiana wazi Kwa kigezo Cha Imani Kila mtu kujiona Bora kuliko mwenzio nyuzi hizo ndo zinaongoza Kwa maneno yasiyo na staha na hoja za kukashfiana
Ni kweli lakini wao wako pabaya zaidi yenu sisi
 
Habari za siku ya leo WanaJamiiForums?

Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.

Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.

Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).

Ni hayo tu
Kama ni mkristo kasome kitabu cha ayubu haraka alafu acha kuchagua kazi. Hela hazidondoki kutoka mawinguni
 
Hakuna Mungu ni wazo lililotengenezwa na Wanadamu tu.

Kwenye ule mgogoro wa kule Palestina, walikufa wapalestina 46,000 ikiwemo watoto, wazee, wagane, wajane na watu wengine, msaada wake mliuona?

Vita ya Kongo hapo, zaidi ya miaka 40 watu wanauwawa, wamesaidiwa na nini?

Kinachoendelea hapo Sudan, kinafahamoka, kule Myanmar hasa kwenye Jimbo la Rohingya.

Tazama magonjwa na shida halafu matokeo yake ikawaje?
Ipo wazi Mungu fata sheria za Mungu uishi
 
Habari za siku ya leo WanaJamiiForums?

Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.

Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.

Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).

Ni hayo tu
ukifulahisha watu utajua Mungu yupo Mungu ni akili yako mbinguni na jehanam ipo pia
 
Back
Top Bottom