sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hapa ndio utajua anayejua baba wa mtoto ni mama na ndio maana tukasema nani km mama maana mama hazingiziwi mimba wala mtoto ila baba wengi wanalea watoto sio wao.
Mgawanyo wa majukumu huo, Mmoja yupo kwajili ya pesa mwengine yupo kwajili ya mapenzi na shoo.
Ukitaka uujue uchawi weka mashine ya vipimo vya dna mtaani kwako, vipimo viwe bure na haraka.
Mgawanyo wa majukumu huo, Mmoja yupo kwajili ya pesa mwengine yupo kwajili ya mapenzi na shoo.
Ukitaka uujue uchawi weka mashine ya vipimo vya dna mtaani kwako, vipimo viwe bure na haraka.