Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Starting point....mdogo mdogo
Lissu ni mtu mwenye bahati sana...waandishi wa habari makini wangetutoa hapo getini mpaka eneo aliposhambuliwa Lissu.
..mdogo-mdogo tutapata picha nzima pamoja na sehemu zilipokuwa CCTV.
Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Balozi Ombeni Sefue. Wajumbe wengine ni pamoja na:Taarifa iliyotolewa jana Januari 6, 2023 na Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus imewataja wajumbe hao;
True Mkuu.....waandishi wa habari makini wangetutoa hapo getini mpaka eneo aliposhambuliwa Lissu.
..mdogo-mdogo tutapata picha nzima pamoja na sehemu zilipokuwa CCTV.
Dawa ya msaliti ni puh puh tuUnawakilisha ushamba wa mangosha kama yule chizi ambaye anaoza mwaka wa pili sasa.
..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.
Acha uchocheziMakondakta msakoni!
Kumekuchaaaaa..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.
Ile Nissan nyeupe itajulikana tu10 February 2023
Tume ya Haki Jinai waanza kuhoji Wakuu wa Polisi na wa ..
Mama yako akimsariti Baba yako auwawe...?Dawa ya msaliti ni puh puh tu
10 February 2023
Tume ya Haki Jinai waanza kuhoji Wakuu wa Polisi na wa ..
Say it again.I can feel the anxiety and depression of Lissu's assailants knowing that its going to be bad for sure.....
kufanya kaz za shetani na wewe uaonekana shetani.... time to pay the price in full.
Mkuu 'JokaKuu', unamaana ya wakati gani? Sasa hivi, au enzi zile za akina Gwanda kupotea kwa habari ambazo hata haijulikana walichoandika juu yake hadi kusababisha kutoweka bila kujua walipo?..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.
..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.
..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.
..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.
..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.