Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
A load of stupidityNdiyo mshahara wa msaliti popote duniani.
Tutashitakiwa MIGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A load of stupidityNdiyo mshahara wa msaliti popote duniani.
Tutashitakiwa MIGA
..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.
Akibaki salama mambo mema yote yanayofanywa yaliyofanywa na yatakayofanywa awamu hii ya sita. Yamekuwa najisi.. Yameoza yatanuka. Maana hujaondoa kiini cha uozo umefunika tu.Acha uchochezi
Mimi tayari niko peponi namwangalia tu anavyougulia matesoAkikusubiri wewe mkaokwe wote dadeq
Naliona lile komweAngekuwa baba yako naamini ungechinja mbuzi kwa furaha
ila Mungu ni fundi mzee wenu yupo hivi kwa sasaView attachment 2513066
Mkuu 'JokaKuu', unamaana ya wakati gani? Sasa hivi, au enzi zile za akina Gwanda kupotea kwa habari ambazo hata haijulikana walichoandika juu yake hadi kusababisha kutoweka bila kujua walipo?
Ninayo matumaini, kwa sasa hivi inawezekana, na bila shaka mengi yatajitokeza. Tukio la aina hii haliwezi kufunikwa liwe siri milele.
Ninachomsihi Tundu Lissu akifanye pia, ni kuandika kitabu juu ya mkasa wote uliompata. Nina matumaini kuwa anazo taarifa za kutosha kabisa kuandika kitabu, ambacho hata pengine huko mbeleni kinaweza kuzalisha filmu yake.
Wakaondoka kayafa na wenzake yeye anadunda mtaani tu, kila mtu ana cku yake ya kuondoka dunian lkn nyie wahafidhina mlitaka katisha uhai wake kwa maslah yenu binafsi but MUNGU akakataa!!! Mtanyooka na bado.Dawa ya msaliti ni puh puh tu
Walikataa katu katu kabisa kuwa Ngosha hakuwahi kuhusika kwa namna yoyote na hili tukio pamoja na serikali yake!hahahaha kama ulivyo mshahara wa mtekaji, mtesaji, na mbambika kasi za uongo
tunapigana vita ya uchumi ndugu zangu
Tanzania hakuna corona ikamfyeka yeye
Tungekuwa na mfumo wa haki mzuri, hata Said Mwema angewajibishwa kwa kuamuru mauaji ya waandamanaji halali Arusha mwaka ule...Nashauri Mdude Nyagali akafunguke mbele ya Tume ya Jaji Mkuu Chande.
Hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
Hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
Hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.
Tume ya Haki Jinai waanza kuhoji Wakuu wa Polisi na wakuu wa .... ikiwa pamoja na kuangalia utendaji wa taasisi zilizopo ktk mfumo wa haki jinai.... ..
Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Balozi Ombeni Sefue.
Wajumbe wengine ni pamoja na:
- Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Said Mwema
- na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Balozi Ernest Mangu.
Hawa juu ndio wanaohojiwa? au Ndio wajumbe?Askari Polisi mstaafu, Saada Makungu,
..tungekuwa na waandishi wa habari wachunguzi ingesaidia sana kupata ukweli wa tukio la Lissu.
..kwa mfano, muandishi mchunguzi angeweza kutegua kitendawili cha walinzi wa area D.
..kwanza, angeweza kujua kama walikuwepo. Na angeuliza walichukua hatua gani. Au angeweza kujua kama waliondolewa, na mamlaka gani inahusika na kuweka ulinzi eneo hilo.
..pili, muandishi mchunguzi angeweza kujua undani kuhusu CCTV ambazo Polisi walidai wanazo. Angedadisi zimechukuliwa na nani.
..tatu, muandishi mchunguzi angewahoji majirani kuhusu wanavyoishi na hali ya usalama ktk eneo lao. Jinsi watu wanavyoingia na kutoka katika makazi ya viongozi area D.
msaliti kashaenda zakeDawa ya msaliti ni puh puh tu
Jenda imezingatiwa kweli, mbona wanaume tupu?10 February 2023
Tume ya Haki Jinai waanza kuhoji Wakuu wa Polisi na wakuu wa .... ikiwa pamoja na kuangalia utendaji wa taasisi zilizopo ktk mfumo wa haki jinai.... ..
Mwenyekiti jaji Chande anasema kuna upungufu au mmomonyoko wa imani za wananchi kuhusu taasisi zilizopo ktk mfumo wa haki jinai pia jaji Chande awaomba raia kutoa maoni yao kuhusu utendaji wa taasisi hizo .. kwa kutuma maoni yao ktk anuani za mawasiliano za tume hiyo zilizopo twitter, FB, email, WhatsApp na simu.
Pia Toka maktaba :
Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Balozi Ombeni Sefue. Wajumbe wengine ni pamoja na:
- Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Dk Eliezer Feleshi,
- Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais (Utumishi) Dk Laurean Ndumbaro,
- Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Said Mwema
- na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Balozi Ernest Mangu.
- Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Dk Edward Hosea,
- Askari Polisi mstaafu, Saada Makungu,
- Mwenyekiti wa Bodi ya Tanesco Omar Issa,
- Ofisa mwandamizi Ofisi ya Rais Baraka Leonard
- na Mkurugenzi wa Utafiti katika Chuo Kikuu cha Zanzibar na Rais mstaafu wa Chama cha Wanasheria Zanzibar, Yahya Khamisi Hamad.
Hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.
Hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.
Hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.