Hapa ndipo Area D, Dodoma. Na hili ndilo geti lililoachwa wazi na walinzi kutokomea siku Lissu aliposhambuliwa

..hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.

..hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.

..hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.


Mlinzi anasemaje?
 
Acha uchochezi
Akibaki salama mambo mema yote yanayofanywa yaliyofanywa na yatakayofanywa awamu hii ya sita. Yamekuwa najisi.. Yameoza yatanuka. Maana hujaondoa kiini cha uozo umefunika tu.
 

Na gari lake likakae makumbusho.
 
hahahaha kama ulivyo mshahara wa mtekaji, mtesaji, na mbambika kasi za uongo
tunapigana vita ya uchumi ndugu zangu
Tanzania hakuna corona ikamfyeka yeye
Walikataa katu katu kabisa kuwa Ngosha hakuwahi kuhusika kwa namna yoyote na hili tukio pamoja na serikali yake!

Wamebanwa vya kutosha na spana za jamaa wamekuja na hii statement kuwa msaliti afaa kuuwawa! Na wanajustify kwamba Lisu alikua msaliti!

Wapenda haki wote wataunga mkono hoja kwamba Lisu alikua msaliti. Laikini aliusaliti mfumo ambao ulianzishwa na Mwendazake, aliusaliti mfumo mbaya ambao Ni kinyume Cha taratibu, Mila na desturi zetu Watanzania!
Aliusaliti na aliukataa akakataa kuwa sehemu yake!
Wapenda haki wote hawatasema alistahili kuuwawa!
Jamaa wamepoteana hawajui wanatetea Wala kukubali Nini! Wanavizia aseme Jambo nao wadakie kujastify uharamia
 
..Nashauri Mdude Nyagali akafunguke mbele ya Tume ya Jaji Mkuu Chande.
Tungekuwa na mfumo wa haki mzuri, hata Said Mwema angewajibishwa kwa kuamuru mauaji ya waandamanaji halali Arusha mwaka ule.

Bahati mbaya sana wanaokumbuka ni wachache, na hao wachache wanaokumbuka wanaona kama haiwahusu.
 
Nimemsikiliza na Kangi Lugola, alipuyanga sana kutolea taarifa jambo la Lissu.
 
Hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.

Hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.

Hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.

Hebu toeni hizi habari za miaka imepita. Mambo ya lissu ni jitihada kulitoa taifa kwenye mambo ya msingi kuhusu maendeleo ya wananchi. Mwenyewe tangu amerudi anathibitisha madai haya. Amekua anataka tujadili yeye kupigwa risasi tu na kashavua nguo hadharani kuonesha makovu.
Tusianguke kwenye huu mtego.
 
Tume ya Haki Jinai waanza kuhoji Wakuu wa Polisi na wakuu wa .... ikiwa pamoja na kuangalia utendaji wa taasisi zilizopo ktk mfumo wa haki jinai.... ..

Wanahojiwa hawana majina?

Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Balozi Ombeni Sefue.

Wajumbe wengine ni pamoja na:

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Said Mwema

  • na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP mstaafu Balozi Ernest Mangu.

Askari Polisi mstaafu, Saada Makungu,
Hawa juu ndio wanaohojiwa? au Ndio wajumbe?
 
 
Jenda imezingatiwa kweli, mbona wanaume tupu?
 
Hapo chini kuna video inayoonyesha makazi ya Area D.

Hususan ni hilo geti na nyumba ya walinzi ambao tunaambiwa siku ya tukio hawakuonekana.

Hakuna video yoyote nyingine inayoonyesha eneo hilo kama hii hapa chini.

Hapohapo getini kuna baa Sengia na kituo cha daladala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…