Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo barakoa mimi ndo nilikuwa dereva.Dereva mbona kama amevaa barakoa kulikuwa na corona ama vumbi tu?
Enzi hizo ukiaambiwa kuna kiwanja Ubungo,lazima usonye,nani akakae shamba huko!![emoji3][emoji3]Ama kweli kila zama na kitabu chake.
Nadhan atakuwa yule jamaa aliyesoma udsm jion alikuwa anapiga deiwaka yule jamaa wa mniombee ndugu zanguu au nasema uongoooKwa pembeni hapo naiona TAX BUBU.
Dereva anapeleka kichwa sijui wapi
Hii ilikuwa 1983, ulikuwa wapi wewe. Maana luxury zilikuwepo. Hilo lilikuwa basi la kawaida tena zuri tuDah.
Hilo bus ndio luxury la miaka hiyo, huko ndani abiria wanagaiwa ndizi mbivu na maparachichi.
Editing naona ,Super Slide linaenda perpendicular na barabara(lami),angalia gari dogo muelekeo wake kama linavuka barabara kuwafata mwanamke na mwanamme mbele kule ambapo hakuna barabara.