Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kuna uwezekano mkubwa wote waliokuwa ndani ya hilo basi hakuna aliye hai.
Wote wako hai isipokuwa wewe tuu 🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano mkubwa wote waliokuwa ndani ya hilo basi hakuna aliye hai.
Hii sio 1991 ni nyuma zaidi. 91 juzi tu jiji lilikuwa limeshachangamka watu tunaruka kopo kwa Macheni tukitoka hapo tunaenda Lang'ata Kinondoni tena tunatumia gari za kisasa kabisaSio zamani kivile,mwaka 1991 nikiwa pale kivukoni ilikuepo stand ya mabasi mikangafu kama hilo,,daladala za kawaida ilikuwa ni chai maharage,,
Haya naacha mzee mwenzangu tena kuanzia leoAcha umalaya we mzee
Kwenye hiyo fani nina PhD ya heshimaUna macho mazuri sana ni kweli binti anaonekana anatafuna kucha kama ishara ya "niangusage tu sambi sako mwenyewe"😂🤣
Sheria zilikuwepo ila mambo ya route hayakuwa magumu sana.basi zilikuwa zina uhuru wa kwenda kwenye abiria wengiLakini wangechomoa kibao, ikumbukwe enzi hizo sheria zilikuwa kali, mfano ni pale magari madogo yote yalikuwa hayaruhusiwi kutembea Jumapili baada ya saa 7 au 8 kama sijakosea, kwahiyo hata kibao kisingeachwa hapo iwapo bus lilikuwa linakwenda shamba
Nadhan unamsemea YohanaNadhan atakuwa yule jamaa aliyesoma udsm jion alikuwa anapiga deiwaka yule jamaa wa mniombee ndugu zanguu au nasema uongooo
May be 1984 kuna watu walikua na miaka 15_40 itakua na miaka mingap?Kuna uwezekano mkubwa wote waliokuwa ndani ya hilo basi hakuna aliye hai.
Dereva alikuwa Jiwe ,kipindi hicho anasoma pale mlimaniKwa pembeni hapo naiona TAX BUBU.
Dereva anapeleka kichwa sijui wapi
Jaribu kuangalia vizuriEditing naona ,Super Slide linaenda perpendicular na barabara(lami),angalia gari dogo muelekeo wake kama linavuka barabara kuwafata mwanamke na mwanamme mbele kule ambapo hakuna barabara.
Inawezekana maana kama hakuna nyumba kuna miiti barabara haijachongwa vizurimilima ya pembezoni mwa morogoro road pale Kibanda cha mkaa bado ipo??
sa imagine miaka hio pale kama unapanda kutokea Jagwani kenda Magomeni Mapipa Hamna miinuko??
Enzi hizo Sinza ilikuwa mashamba ya mpunga
Kumbe Ilikuwa raha sanaDah.
Hilo bus ndio luxury la miaka hiyo, huko ndani abiria wanagaiwa ndizi mbivu na maparachichi.
Off courseKuna uwezekano mkubwa wote waliokuwa ndani ya hilo basi hakuna aliye hai.
Barabara ya kuingia mjini ilikuwa inapitia Kigogo, hapo ni mlima kupanda kwenda Magomeni, huo mwinuko kushoto ni pale Rutihinda Primary ilipo. Daraja lililotumika ni lile pale Rutihinda, ndio mana pale Magomeni kuna lango la jiji hapo ndio ilikuwa sehemu ya kuingilia mjini. Kumbuka wimbo usemao "Heri kufa kwa kugongwa na gari la gorofa la kwenda Ilala, ooh heri kufa kwa kugongwa na gari la tela liendalo Zambia, kifo cha penzi ni kifo kibaya..." route illikuwa Kariakoo pale KAMATA kupitia Boma. Neno KAMATA linatokana na kuwa Depot ya mabasi ya mjini DMT (Dares salaam Motor Transport) baadae KAMATA (Kampuni ya Mabasi Tanzania)
Route nyingine mabasi yakitoka mjini yanaishia kinondoni mjini hapo ndiyo mwishoBarabara ya kuingia mjini ilikuwa inapitia Kigogo, hapo ni mlima kupanda kwenda Magomeni, huo mwinuko kushoto ni pale Rutihinda Primary ilipo. Daraja lililotumika ni lile pale Rutihinda, ndio mana pale Magomeni kuna lango la jiji hapo ndio ilikuwa sehemu ya kuingilia mjini. Kumbuka wimbo usemao "Heri kufa kwa kugongwa na gari la gorofa la kwenda Ilala, ooh heri kufa kwa kugongwa na gari la tela liendalo Zambia, kifo cha penzi ni kifo kibaya..." route illikuwa Kariakoo pale KAMATA kupitia Boma. Neno KAMATA linatokana na kuwa Depot ya mabasi ya mjini DMT (Dares salaam Motor Transport) baadae KAMATA (Kampuni ya Mabasi Tanzania)
Yule wa karufonyia?Nadhan atakuwa yule jamaa aliyesoma udsm jion alikuwa anapiga deiwaka yule jamaa wa mniombee ndugu zanguu au nasema uongooo
.