Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta

Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao

Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite

Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe

Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo

Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu

Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao

Leo hii kwao kumebaki magofu

Magufuli soma historia.

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272
Kweli tunapanga ila na Mungu naye anapanga. Mungu atusaidie sana tuwe na kiasi katika maisha yetu.
 
Tujikumbushe vituko vya huyu jamaa aliyewahi kuwa Raisi wa zamani wa Zaire. Mobutu Sese Seko Kuku Gbendu Wa Za Banga. Moja ya vitu alifanya huyu bwana mkubwa vilivyoushangaza uliwengu ni kitendo chake cha kutumia mamilioni ya dola na kwenda kubadilisha Gbadolite ( kijijini alipozaliwa) kuwa paradiso ndogo. Kwanza Alijenga bwawa la kuzalisha umeme karibu na mto Ubangi, uwanja wa ndege wa Gbadolite, Kasri kubwa na hoteli alotumia kama makazi na sehemu ya kupokelea wageni wake. Gbadolite pia kulikuwa na makampuni makubwa kama vile CDIA Zaire kwa ajili ya kilimo. SOZAGEC kampuni ya ujenzi wa barabara na SAFRICAS kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za makazi kulikuwa pia na hospitali kubwa iliyokuwa na vifaa vya kisasa ambayo iliharibiwa vibaya mwaka 1997. Mobutu pia alijenga kanisa kubwa sana lililojulikana kama Chapelle Marie la Misericorde ambapo huko ndipo alimzika mkewe mama mobutu.
Mwandishi na mpiga picha wa gazeti Guardian la uingereza bwana Sean Smith alisafiri mpaka Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo iliyokuwa zaire na kutuletea picha ya yaliyomo Gbadolite ya sasa.

President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures

Hii ni iliyokuwa air-traffic control tower ya Gbadolite international airport, ambayo runway yake ilikuwa ndefu kuwezesha ndege aina ya Concorde kutua (concorde zilikuwa ndege maarufu kubwa za abiria miaka ya 1979 hadi 2003 zilizokuwa na uwezo wa kubeba abiria 92 hadi 128.
Picha zote na Sean Smith wa gazeti la Guardian la uingereza

Gbadolite: the airport and air traffic control tower.

  • hapa ni ndani ya air control tower iliyotelekezwa kama inavyoonekana.

    Gbadolite: the control tower  at Mobutu's airport.'s airport.

  • Hii ni VIP arrivals terminal: sehemu ya kupokelea wageni muhimu ambapo watu maarufu kama vile Pope John Paul II, UN secretary-general Boutros Boutros Ghali walipita hapa.
    Gbadolite: the VIP arrivals terminal at Mobutu's airport.'s airport.

    Hapa ni ndani main airport terminal


    Gbadolite: the main terminal at Mobutu's airport.'s airport.


  • Gbadolite: the main terminal at Mobutu's airport.'s airport.

  • hili ni jengo la wizara ya Maji ambalo halikumalizika na sasa linatumika kama shule.
    Gbadolite: the Water Ministry building never finished and now used as a school.
  • ndani ya shule
    Gbadolite: the Water Ministry building never finished and now used as a school.


  • Hii inaitwa Motel Nzekele, iliyojengwa na mobutu kijijini kwao. ilikuwa na hadhi ya nyota tano kipindi inafunguliwa mwaka 1979.

    Gbadolite: the Motel Nzekele, built by Mobutu

  • Bwawa tupu la kuogelea kama linavyoonekana kwa picha. wageni mblimbali mashuhuri wanaoripotiwa kufika katika moteli hii ni pamoja na Papa wa kanisa katoliki, mfalme wa Ubelgiji, na raisi wa ufaransa , François Mitterrand

    Gbadolite: the Motel Nzekele, built by Mobutu, with now-empty swimming pool.

  • kumbi ya kuangalia cinema Motel Nzekel

    Gbadolite: inside the Motel Nzekele

  • Picha ya daraja ambalo halikufanikiwa kumalizika kwatika kijiji cha Gbadolite

    Gbadolite: an unfinished bridge in Gbadolite


  • Hili ni geti la kuingilia makazi binafsi ya Mobutu kijijini kwao. wakazi wa hapa wanatoza dola 20 kwa wageni kuingia na kutazama.
    Gbadolite: the main gates and entrance to the private palace of President Mobutu.

  • Gbadolite: the entrance to the private palace of President Mobutu

  • Gbadolite: the ruins of the private palace of President Mobutu.

  • Gbadolite: the private palace of President Mobutu. A relative stands in the disused swimming pool.


  • Kwa majina mengine walipaita Mobutu’s palace. katika makazi haya waliajiriwa wafanyakazi zaidi ya 700 staff wakiwemo wapishi, vijakazi na wanajeshi 300 soldiers

    Gbadolite: the private palace of President Mobutu.

  • Ndani ya viwanja vya kasri la mobutu ambapo taratibu pameanza kumezwa na vichaka.

    Gbadolite: the private palace of President Mobutu.

  • Gbadolite: the president's ruined bedroom.'s ruined bedroom.
  • Hii ilikuwa chemchem ya ndani ya kasri hilo iliyokuwa na sanamu la simba lililochongwa wa ustadi wa hali ya juu.
    Gbadolite: the private palace of President Mobutu.
Zile VETA za Chato sasa
 
Hahaha umepagawa niggah!!

Sasa hayo magofu unayaita kua ni majengo ..

Msiba au lissu ndio anakuchanganya
Wewe uliyaona miaka ya 70’s wakati ni mapya? Hao mapapa na ma UN secretary general hawakuyatumia?
 
Mkuu hakuna mimi na wewe tunachoweza kufanya katika kubadilisha hali iliyopo. Ni kujitakia sononeko na maumivu ya moyo pasipo kuwa na ulazima.

HAPANA, Tunaweza kubadili...

Ni kwa kumuomba Mungu muumba watu asaidie kubadili mambo...

Tatizo lako ni moja. Unatetea uovu na unau - cherish badala ya kuukataa na kuukemea...

Eti Mrema alifanya hivyo; Msuya and the likes...

Ukiwa na mtazamo huu, utaishia kusema mambo hayawezi kubadilika...

Yatabadilikaji kama fikra zako (mindset) yako iko fixed..?

SASA BASI ISHU IKO HIVI;

Sisi tulikuwa tunaomba ili kubadilisha mambo, Mungu kasikia maombi yetu, amejibu...

Hilo Jiwe limelala na limekuwa jiwe kweli lisilo na uhai wowote. Na mabadiliko yanaendelea...

Hivi ndivyo Mungu Muumba anavyotenda kazi yake...

Unamkumbuka Mfalme Herode aliyeamuru watoto wote wa umri wa miaka 0 - 2 around Bethlehem wauwawe kwa sababu ya Mtoto Yesu Kristo?

Unajua Mungu alili - fix vipi tatizo hili?

Aliruhusu kifo (mauti) imfike Mfalme Herode kwa ajili kuruhusu Msimu mpya kuingia...

Tanzania hivyo hivyo leo. Haya ni majibu ya Mungu kwa kilio cha watu wake...

Tunaingia msimu Mpya sasa....
 
Washamba wenzie marehemu kina Shigongo walishwekeza Chato kwa kujenga mahoteli Chato nadhani hela ya mwisho kupata itakuwa watu watakaokwenda msibani baada ya hapo wasubirie kuuzwa nyumba zao na benki
 
HAPANA, Tunaweza kubadili...

Ni kwa kumuomba Mungu muumba watu asaidie kubadili mambo...

Tatizo lako ni moja. Unatetea uovu na unau - cherish badala ya kuukataa na kuukemea...

Eti Mrema alifanya hivyo; Msuya and the likes...

Ukiwa na mtazamo huu, utaishia kusema mambo hayawezi kubadilika...

Yatabadilikaji kama fikra zako (mindset) yako iko fixed..?

SASA BASI ISHU IKO HIVI;

Sisi tulikuwa tunaomba ili kubadilisha mambo, Mungu kasikia maombi yetu, amejibu...

Hilo Jiwe limelala na limekuwa jiwe kweli lisilo na uhai wowote. Na mabadiliko yanaendelea...

Hivi ndivyo Mungu Muumba anavyotenda kazi yake...

Unamkumbuka Mfalme Herode aliyeamuru watoto wote wa umri wa miaka 0 - 2 around Bethlehem wauwawe kwa sababu ya Mtoto Yesu Kristo?

Unajua Mungu alili - fix vipi tatizo hili?

Aliruhusu kifo (mauti) imfike Mfalme Herode kwa ajili kuruhusu Msimu mpya kuingia...

Tanzania hivyo hivyo leo. Haya ni majibu ya Mungu kwa kilio cha watu wake...

Tunaingia msimu Mpya sasa....
Sie bure, wewe utakuwa ni mhanga wa zile issue za mishahara hewa. Mirija ilipobanwa lazima njaa iingie nyumbani.

Kumbuka mkuu kwamba njia yetu ni moja. Siku yako ya kulala na wewe itafika ukiwaacha wengine wakiendelea kulifurahia jua.
 
Back
Top Bottom