Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Yanaenda kutimia sasa.Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta
Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao
Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite
Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe
Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo
Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu
Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao
Leo hii kwao kumebaki magofu
Magufuli soma historia.
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272
Mwamba ameshalala milele, na sarakasi zake zinakwenda kusahaulika.
So sad.