Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta

Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao

Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao na kuwa jiji yani jiji la Gbadolite

Mobutu baada ya kufurumushwa madarakani kijiji kimebaki gofu malisho ya mbuzi na ng'ombe

Ikulu imabaki magofu na makazi ya popo

Uwanja wa ndege umebaki kutua ndege john na wengine walio umbwa na Mungu

Mobutu alikula sana hela za Nchi ya Zaire kujitajirisha na kujenga kwao

Leo hii kwao kumebaki magofu

Magufuli soma historia.

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite
IkuluView attachment 1147267View attachment 1147269View attachment 1147270View attachment 1147271View attachment 1147272
Yanaenda kutimia sasa.
Mwamba ameshalala milele, na sarakasi zake zinakwenda kusahaulika.
So sad.
 
Hahaha ukisoma yaliyomo humu JF na ukalinganisha na unayoyaona na kusikia mitaani unaweza ukachanganyikiwa...mashetani wamo humu JF lakini mitaani wamo wananchi kwa mamilioni wanaomlilia JPM a true son of Tanzania and Africa in general
Kwan hao wa jf wanaishi Kosovo? Kila mtu ashinde mechi zake tusipangiane maisha.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Watu hawapendi kujifunza kutoka katika historia
 
You will also die...and you will be escorted by barking dogs...you will lie in shame in a pit...
Ukifa umekufa. Hayo mengine ni porojo.

Huyu acha tushangilie sababu alikuwa Mungu mtu.
 
Kaa huko na ndoto zako za kupenda kula pesa za wananchi. Na bado... mtaisoma namba hadi mnyooke
Bibi pole kwa msiba babu ndo hivo tena😢😢😢🖑🖑🖑mitano tena😃😃
 
Charity begins at home! Uzuri ni kuwa chato ipo Tanzania! Kama malalamiko yanayoelekezwa kwa Mkuu yanalenga kutuaminisha kuwa Chato hapana hadhi katika Tanzania, ama basi yaliyofanywa huko yalipaswa kufanyika kaskazini tu itakuwa ni kumuonea mkuu.
Kwa nini unasema Kaskazini? Huku Mbeya alifanya nini? Lindi je? Zaidi ya kupora korosho zetu? Chato wana hadi budget surplus ya mil 50 wakati wilaya nyingie hela hawapelekewi.

Makusanyo kwa Mwaka Chato ni bil 2 lakini walikuwa wanapelekewa zaidi ya bil 100 kwa mwaka! Ilihali wilaya kama ya Kilwa yenye kuzalisha gasi inayowapa umeme watanzania wote hawapewi hata robo ya hiyo hela. Haikuwa sawa alivyokuwa anafanya huyu mpendwa wenu.
Ushauri wangu kwake ni yeye aufanye huo uwanja uwe mali ya JWTZ ili wawe wanafanyia mazoezi yao huko
Huu ushauri ni valid kabisa. Muda utaamua
 
Hakika hili ni somo zuri mno kwa viongozi washamba na malimbukeni wa Afrika View attachment 1782417

FB_IMG_1620754559781.jpg
View attachment 1782420View attachment 1782423

FB_IMG_1620754582351.jpg
 
Back
Top Bottom