Hapa ni kwaajili ya member watakaofika kwenye party wakiwa na pesa mkononi

We nilikwambia uniambie uliko nije kukuchukua ukaniletea story mob.. Ukakosa mbusi hivihivi teh teh..

Usinikimbie mimi sijawa yule mzushi wa US..
Hahahahaaaa!! Chizi wewe.
Sikukukimbia bwana, nilichelewa kuona ujumbe. This time usiponikaribisha nakuja mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…