mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
ExactlyBila kusahau Volvo nakumbuka hayati Aboud Jumbe alikuwa anatembelea hiyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyBila kusahau Volvo nakumbuka hayati Aboud Jumbe alikuwa anatembelea hiyo
On my side, I concur with you.I conquer with u bro
Stendi[emoji44][emoji44][emoji44]Hilo kanisa hapo karibu na stand ni mark nzuri kujua sehe hiyo
Picha ya juu stendi ya zamani ya arusha hiyo ya chini dar ex press ya kutoka dar kwenda nairobi
Sikubishii maana upo kikazi zaidi wa stendiPicha ya juu stendi ya zamani ya arusha hiyo ya chini dar ex press ya kutoka dar kwenye nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo zoote zipo ila Renault zimepotea kabisa hapa bongo.......Renault zilikuwa zinanifurahisha ile gear level yake ilikuwa ya kipekee sanaMagari zamani zilikuwa Peugeot, Renault,Ford,volxwagen, Land rover yaani make za ulaya tu zamani used car hakuna bongo
johnthebaptist
Ova
Naweza kukubaliana na wewePicha ya juu stendi ya zamani ya arusha hiyo ya chini dar ex press ya kutoka dar kwenye nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya chini ni simulator
Malizia kuwa basi linaitwa Kwacha la mzee Chalamila.Kwanini iwe mwaka 1981 mkuu
Ila hiyo ya chini kumbukumbu zangu hakujawahi kuwa na dar ex press ya tandam mbele [emoji42][emoji42]Hapo ni iringa stand,lile kanisa linaloonekana hapo ni kanisa la roma lipo panaitwa mshindo,
Na ilo basi hapo mlimani sio picha halisi
Hahaha mkuu kumbe unakikumbuka kibiriti na tranka lile loriHa haa! Hicho kibasi cha kwanza cha rangi ya maziwa tulikuwanacho Mzumbe sekondari. Kilikuwa kinaitwa kibiriti. Cku hizi sijui kiko wapi!
Alafu kulikuwepo na gari fulani za kirusiHizo zoote zipo ila Renault zimepotea kabisa hapa bongo.......Renault zilikuwa zinanifurahisha ile gear level yake ilikuwa ya kipekee sana