Hapa ni wapi na inaweza kuwa ni mwaka gani

Hapa ni wapi na inaweza kuwa ni mwaka gani

Picha ya juu ni kweli ya zamani miaka ya 1970
hii picha ni ya ku-design kutumia computer kwa wale madesigner wa Game za computer au km unataka muundo gani wakutengenezee ili umpe mwenye kampuni la kuunda Body designer km Kareem
1620816770182.png

BOFYA HAPA
 
picha ya kwanza ni stand kati ya Zimbabwe au Africa ya kusaini

picha ya pili ni 3d animation hasa hasa kwenye magame
Hapo ni iringa hadi leo ukienda pana mazingira ya hivyohivyo
 
Picha ya juu ni Sumbawanga, stand ya jangwani. Basi la kijani ni basi la Said Ali&sons, basi jeupe ni Lake transport la Bw. Rocky😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲

Hapo ni mwaka 1986, kwa mbaaaali linaonekana kanisa la Kristo mfalme. Kanisa hilo liko karibu na Nelson Mandela Stadium
Acha bange wewe!!!!@
 
Back
Top Bottom