Hapa nimenyimwa penzi, ninahasira sana

Hapa nimenyimwa penzi, ninahasira sana

Wakati mwingine majukumu ya nyumbani yanachosha sana hadi hamu inaondoka. Unakuta asubuhi hadi usiku mtu haujapata hata muda wa kupumzika na ule muda wa kupumzika kuna jukumu lingine. Hisia haziwezi kuwa karibu.

Jaribu kumtafutia mtu wa kusaidiana nae kazi za nyumbani.
 
Huku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"

Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.

Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.

Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.

Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.

Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Huu uzezeta wa wanaume wa siku hizi sijui unatoka wapi? Wee zezeta mpaka unatia kinyaa! Muda si mrefu huyo mwanamke ataanza kukuzaba vibao! Mwanaume unatakiwa huwe na kautisho fulani hivi kiasi kwamba ukiongea mwanamke anakuwa makini kukujibu! Hata mbususu unabembeleza? Shwaini!
 
Huku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"

Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.

Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.

Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.

Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.

Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Muhimu tu usije ukachukua maamuzi ya kipumbavu kama ya yule mwenzako wa Njombe.
 
Back
Top Bottom