Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
mkuu unaweza kutuwekea hapa hiyo sheriaSheria ni mke mmoja, waislamu ndo wanaruhusa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unaweza kutuwekea hapa hiyo sheriaSheria ni mke mmoja, waislamu ndo wanaruhusa
hujielewi, cha zaidi ni kipiNdoa ni zaidi ya ngono
Kuna wengine hamu zinakuwa juu na wengine sasa ukimgusa ugomvi.Sasa mimi nna mchepuko huyo akiwa mjamzito hua inabidi saa nyingine nimkwepe manake anakua kama kichaa yaani ashki zinakua juu balaa.. usilogwe ukamgusa tu atakurukia hata kama ni njiani anataka hapohapo😄
Kuna Jirani nilikua silali usiku Kwa makelele yake akigegedwa. Chakushangaa hata miezi 2 haijapita tangu nimehamia hapa nakuja skia tu kajifungua.Kuna wengine hamu zinakuwa juu na wengine sasa ukimgusa ugomvi.
Kwahiyo huyo mchepuko unamsaidia kupanua njia sio[emoji23]
Watu wanafanya hadi masaa kadhaa kabla ya kwenda leba.😂😂😂hainaga masihara. Njia lazima iendelee kufunguliwaKuna Jirani nilikua silali usiku Kwa makelele yake akigegedwa. Chakushangaa hata miezi 2 haijapita tangu nimehamia hapa nakuja skia tu kajifungua.
Nikashangaa kumbe mikito inaendelea tu hata kama una mimba kubwa...[emoji16][emoji16]
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
#KATAA NDOAHuku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"
Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.
Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.
Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Kua uyaone!Yaani mke wako kabisa akunyime kipochi manyoya? Mliokotana nini? Kama anaumwa sawa,au labda kachoka.
Hivi huwa mnakimbilia niny, kuoa wanawake wanamna hiyo.
Hii ni hulka kwa Wanawake wengi waliolewa, huyo mtu wa kusaidiana naye kazi za nyumbani itasababisha asaidiwe na mengine.Wakati mwingine majukumu ya nyumbani yanachosha sana hadi hamu inaondoka. Unakuta asubuhi hadi usiku mtu haujapata hata muda wa kupumzika na ule muda wa kupumzika kuna jukumu lingine. Hisia haziwezi kuwa karibu.
Jaribu kumtafutia mtu wa kusaidiana nae kazi za nyumbani.
Eeeh tunasaidiana maana ni mke wa mtu 😀Kuna wengine hamu zinakuwa juu na wengine sasa ukimgusa ugomvi.
Kwahiyo huyo mchepuko unamsaidia kupanua njia sio😂
Jamaa una adabu sana. Utafika mbinguni mapema alfajiri.Sheria ni mke mmoja, waislamu ndo wanaruhusa
Halafu saa nyingine sio kwamba anakunyima, ni ile tu kwamba mtu unachoka kuomba omba unapotezea! Kuna raha fulani ya kupewa tunda bila kuomba..Yaani mke wako kabisa akunyime kipochi manyoya? Mliokotana nini? Kama anaumwa sawa,au labda kachoka.
Kwani dhambi ni hiyo moja tu...?Jamaa una adabu sana. Utafika mbinguni mapema alfajiri.
Kama hiyo kaweza kuishinda basi hata hizo nyingine atakuwa hafanyi😅Kwani dhambi ni hiyo moja tu...?
Tuanzie hapo kwanza😎Sheria ya nani mkuu?
Vijana ambao hawajaona hawajui mambo ya ndani ni tofauti sana na wanavyofikiriaKua uyaone!
Ngoja siku mtoto ashike hiyo dudu yako akatae kuachiaEeeh tunasaidiana maana ni mke wa mtu 😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwanza kuna mtoto wake mmoja kama simuelewi elewi sijui atakua wangu yule? Japo yeye alisema ni wa mumewe..Ngoja siku mtoto ashike hiyo dudu yako akatae kuachia