Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Nikiangalia haya mazungumzo yenu hapa fursa ilikuwepo ya kula utelezi wewe tu wenge lakoKamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Piga puchuHuku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"
Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.
Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.
Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Mimi nadhani wanawake hua mnapenda tu kutumia "majukumu" kama kichaka cha kujificha pindi mnapokua mmeshamkinai mwanaume.Wakati mwingine majukumu ya nyumbani yanachosha sana hadi hamu inaondoka. Unakuta asubuhi hadi usiku mtu haujapata hata muda wa kupumzika na ule muda wa kupumzika kuna jukumu lingine. Hisia haziwezi kuwa karibu.
Jaribu kumtafutia mtu wa kusaidiana nae kazi za nyumbani.
Mkuu hicho nilichoandika ni uhalisia kabisa japo sio kwa wanawake wote. Kuna ambao wameshapoteza hisia kwa wanaume wao kutokana na sababu mbali mbali na kuna ambao majukumu yanawachosha.Mimi nadhani wanawake hua mnapenda tu kutumia "majukumu" kama kichaka cha kujificha pindi mnapokua mmeshamkinai mwanaume.
Uhalisia ni kwamba, nyie wanawake hua mnatumia vipochi vyenu kama chambo cha kutunasa ili tuwaoe. Mkisha tunasa nyie mnakua hamna ham tena na sisi maana lengo lenu limeshatimia, hayo mengine ya kuchoka, sijui kichwa kuuma, mara mgongo unauma, mara leo nna mtoki, nk hivyo ni visingizio tu na sisi tumeshawashtukia. Mbona kipindi cha uchumba hua hamuumwi vichwa?
Ndio maana kwa sasa sisi ni mwendo wa michepuko tuu siku ukitaka kunipa sawa usiponipa wala siulizi najua mwenyewe cha kufanya.
sio ujingaHuo ni ujinga Mkuu.
Basi tuite ukatili wa kijinsiasio ujinga
kujiendekeza tuKichwa cha chini kikifura usingizi utausikia kwa jirani tu
Uko na point za msingi lakini sometimes mnatunyimaga makusudi... kutukomoaMkuu hicho nilichoandika ni uhalisia kabisa japo sio kwa wanawake wote. Kuna ambao wameshapoteza hisia kwa wanaume wao kutokana na sababu mbali mbali na kuna ambao majukumu yanawachosha.
Kwamfano mimi Hannah, napenda utamu huniambii kitu. Ila 2023 nilibaki mwenyewe nyumbani bila msaidizi alipata dharura. Hamna rangi ambayo sikuiona na hapo nashukuru Mungu ilikuwa likizo siendi kazini.
Nilikuwa nachoka kama mbwa koko, hadi babe akirudi ananionea huruma. Nikiingia kitandani tu dkk nimeshasinzia hata kama nataka kufanya ila akili inavyokuwa imechoka hisia haziji na hisia zisipokuja labda nguvu tu itumike.
Kwahiyo hiyo ni moja ya sababu japo sio kwa wote.
Nikuongezee nyingine???? Ujauzito.
Kuna mimba hazitaki tabia mbaya kabisa πππ
Hapo kwenye tabia mbaya sasaMkuu hicho nilichoandika ni uhalisia kabisa japo sio kwa wanawake wote. Kuna ambao wameshapoteza hisia kwa wanaume wao kutokana na sababu mbali mbali na kuna ambao majukumu yanawachosha.
Kwamfano mimi Hannah, napenda utamu huniambii kitu. Ila 2023 nilibaki mwenyewe nyumbani bila msaidizi alipata dharura. Hamna rangi ambayo sikuiona na hapo nashukuru Mungu ilikuwa likizo siendi kazini.
Nilikuwa nachoka kama mbwa koko, hadi babe akirudi ananionea huruma. Nikiingia kitandani tu dkk nimeshasinzia hata kama nataka kufanya ila akili inavyokuwa imechoka hisia haziji na hisia zisipokuja labda nguvu tu itumike.
Kwahiyo hiyo ni moja ya sababu japo sio kwa wote.
Nikuongezee nyingine???? Ujauzito.
Kuna mimba hazitaki tabia mbaya kabisa πππ
Mum, wewe huwezi kujua maana huna hiyo kitu. Mnara unasoma 5G halafu pumb.u zimejaa zinauma, wacha kabisa!kujiendekeza tu
hivi na matajiri wana hiz swag?Mum, wewe huwezi kujua maana huna hiyo kitu. Mnara unasoma 5G halafu pumb.u zimejaa zinauma, wacha kabisa!
Tafuta pesa kwanzaHuku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"
Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.
Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.
Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Hahaha..hivi na matajiri wana hiz swag?
Mnasemaga hivyo tu ila huo uzaid hamtoi maelezo [emoji38]Ndoa ni zaidi ya ngono
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendelea.Huku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"
Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.
Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.
Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.
Sasa mimi nna mchepuko huyo akiwa mjamzito hua inabidi saa nyingine nimkwepe manake anakua kama kichaa yaani ashki zinakua juu balaa.. usilogwe ukamgusa tu atakurukia hata kama ni njiani anataka hapohapoπNikuongezee nyingine???? Ujauzito.
Kuna mimba hazitaki tabia mbaya kabisa πππ
'Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko'Huku ndoani ni vurugu mechi, wakati anapika nikamgusa, nikaambiwa " ushaanza mambo yako, subiri nipike kwanza"
Nikawa mpole, sasa tumemaliza kula, nikaambiwa aongee na mama ake alimpigia af ndo tulale, nikawa mpole.
Kamaliza kuongea anasema nimuache kidogo apunzike. Nikamuuliza hii ndo mpka kesho, akanijibu ataniambia.
Hapa nimekaa kwenye kiti ninahasira zisizo ongeleka.
Ingekua na ruhusa ningoa mke wa pili, au nitafute mchepuko. Haya mateso yanaharibu mood sana. Yani unakaa unaona mtu anaeweza kukusaidia yupo ila hupati unachokitaka.
Nahisi nitaanza kununua malaya kwa haya yanayoendela.