Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
- Thread starter
- #221
endeleaaukiona hivyooo jua nipo naee uku analiwaaaa na kula bataaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endeleaaukiona hivyooo jua nipo naee uku analiwaaaa na kula bataaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tuma hela za kutosha kufanya penzi lenu lisife, no one is strong against money and remember women are very weak for money.
Usitume sms, tuma hela atakutumia sms yeye mwenyewe.
kiukweli nampenda sana
dada poa?? ndugu ushauri gani huuNa ndo hicho kilichokuponza.Uombe kupendwa,usiombe kupenda.Huyo unayemfukuzia na yeye anawafukuzia wengine.Af, bado huna mpango nae unataka wa kupunguzia uzito tu.Ni vyema uriwaindi akili zako,uangalie mwanamke aliyekupenda gegedana na huyo.Huyu unayehangaika nae hana time na wewe.Na jibu unalo tu sema bado unatapatapa. Naona hujawahi kuumizwa na mwanamke,mpaka uape kutopenda tena uwe unajishughulisha na dada poa.
et eeNaomba unisaidie Ku share
dada poa?? ndugu ushauri gani huu
duuuu,,kk hatarWazo tu.Sasa ya nini uhangaike na mtu ambaye haoni umhimu wako? Bungurusi litaendelea kutamani mzigo,huyo umpe hata 1M atakuona zuzu tu,sasa si bora akatoe buku 5 akamalize shida zake?! Kumbuka,hata papuchi ya huyo anaemuumiza kichwa ni sawa tu na ya dada poa
aiseeduuuu
nakubalimoyo kazi yake ni kusukuma damu na si vingine, kupenda unajibebesha mizigo isiyo ya lazima. Utakufa bado mdogo kijana
asantesiku hizi kaka yangu hayapo mapenzi ya dhati kama wapo wenye mapenzi ya dhati kwenye 100 utakuta mmoja ama wawili
mi nakushauri piga kitabu usimfilikie tena huyo atakupasua kichwa bure kipindi hujampata yeye ulikuwa unaishi je? fikilia maisha yako ya baadaye asije akakupotezea mwelekeo wa maisha.
sawa mkuufimbo ya mbali haiui nyoka akikupotezea na ww mpotezee itakua kuna jamaa 2 amekaba nafas subiri mmalize chuo uone kama ajarud mwenyew