Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Nina rafiki yangu ni lecturer pale mweka, nliwahi kumtembelea nikashangaa kwenye intake yao ratio ya wasichana wavulana inavyotofautiana, yaani katika wanafunzi kumi wasichana wawili wavulana nane!!!

Mind you hawa vijana wanatoka kwenye familia wanazoweza kulipa ada in USDs si chini ya elfu 3000!!!

Sipendi kua negative, but mweka is really not a safe place kwa hawa mabinti!!

For your sake, I hope am wrong,SON!!!
Ukweli mtupu,na mimi nilitaka kusema hivi.
 
Mwanangu hii story yako ni the same na mm...tangu mwaka jana mpnz wangu alibadilka mara tuache sex mpka tuonane,mara cm hapokei masaa hata 6 na watsapp anakuwa online anadelay kujib txt pia ikiwa nikimuulza kitu anajib kwa mood ya ukali nikaamua kumfuata hukohuko na baada ya uchunguz niligundua vitu vingi sana...sasa cha kukushaur nenda kmyakmya umtokee anapokaa kisha chukua cm yake utajua sabab na ukishaona ameanza kurukaruka na wanaume achana nae najua utaumia ila utasahau...mm baada ya kumfata niligundua vitu flan nikaona pia na my weakness nikaamua kuachana nae ila week mbili za mwanzo nimelia kidume mm lkn taratibu naanza kumsahau japo ni ngumu sana....ni pm au nipe namba yako nikushauri kitu coz maumiv ya hili nimeyapata cku chache zilizopta na cpo tayar kumuona mwenzangu akipitia hyo hali
Kaka,waanga wa haya mambo tupo wengi na mbaya zaidi wa kwangu ni mchumba wangu kabisa,nishtambulisha kwa ndugu zangu na jamaa.Workmates zangu ndo usiseme.Kwa sasa mambo yamekuwa hivi.Nimekupm namba zangu unisaidie kwa ushauri,hali mbaya sana.
 
Piga moyo konde piga kitabu tafuta hela wanawake wako wengi tu.
Usijinyonge tu mkuu kisa kuachwa.
Ni wengi lakini kila mwanamke ni type yako,kumpata wa type yako sio suala dogo,unaweza zeeka hivihivi ukijiona.
 
Braza kwanza pole saana na kikubwa ube tulia halafu jikaze kiume umkalie kimya kwa muda mrefu, kama ni wako kweli itabaki atageuza shingo hata kama kuna jamaa anajipakulia mzigo
Ushauri huu nakupa kwa kuwa inaonesha unampenda saana.
 
Braza kwanza pole saana na kikubwa ube tulia halafu jikaze kiume umkalie kimya kwa muda mrefu, kama ni wako kweli itabaki atageuza shingo hata kama kuna jamaa anajipakulia mzigo
Ushauri huu nakupa kwa kuwa inaonesha unampenda saana.
asantee mkuu
 
Mwanangu hii story yako ni the same na mm...tangu mwaka jana mpnz wangu alibadilka mara tuache sex mpka tuonane,mara cm hapokei masaa hata 6 na watsapp anakuwa online anadelay kujib txt pia ikiwa nikimuulza kitu anajib kwa mood ya ukali nikaamua kumfuata hukohuko na baada ya uchunguz niligundua vitu vingi sana...sasa cha kukushaur nenda kmyakmya umtokee anapokaa kisha chukua cm yake utajua sabab na ukishaona ameanza kurukaruka na wanaume achana nae najua utaumia ila utasahau...mm baada ya kumfata niligundua vitu flan nikaona pia na my weakness nikaamua kuachana nae ila week mbili za mwanzo nimelia kidume mm lkn taratibu naanza kumsahau japo ni ngumu sana....ni pm au nipe namba yako nikushauri kitu coz maumiv ya hili nimeyapata cku chache zilizopta na cpo tayar kumuona mwenzangu akipitia hyo hali
Vp braza
 
jombaaaa unapenda dem zama hzi utapoteza time yako bure 2 hyo midudu huwaga aipendeki ila inatakiwa kuumizwa ndo cha msingi ila kwakuwa umeamua kuumia mwenyew bila 7bu hakuna shida
 
Back
Top Bottom