Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Anajaribu kukutema taratib
 
Angalia chanzo cha tatizo ni nini ukishakijua utaweza kusolve yaliyopo, nin kimebadilisha tabia yake? Tafuta core course of problem, otherwise watu watajibu kwa majibu ya kufikirika tuu watakuja na attributions nyingi sana kwamba huenda huenda, but ur the main pers to let us say somthing on this, tushawishi tuseme kitu, ila upo moro yeye yupo moshi then unasema amebadilika ni issue sana...hapokei simu amechange..kamma unampenda panda gari....physical precence ina maana sana mbele za mtu, yaweza kuwa ni distance tuu inasumbua afu wewe unasema hiv na hv.....distance r/ ship ina shida zake. Panda gar fuata yeye huta leta tena attribution utaleta mada labda JAMMANI NIMEKUTA AMESHAOA AU ANA MPENZI MWINGINE NINI CHA KUFANYA.... mifano lkn hyo....fanya hvo urudi humu, kamma huna nauli sema utumiwe ukanusuru penzi.
 
Huyo Dada ndo tayar hivyo hata mimi ilishanitokea hivyo hivyo tatizo ni malimbukeni kwa majitu waliyokutana NAyo tu ghafla nakutuona sisi tunaiwapenda na kuwathamin hatufai cha muhimu ni kunyamaza tu kama bado anaupendo atakutafuta kama hana hatokutofuta na Ww usipoteze muda chukua chombo kingine hawa wanawake wa chuo ni hewa hasa ukiwa nao mbali huyu wangu ckumoja nilimvulia uvivu nikamwambia aseme moja kama yuko in or out akaanza kujing'atang'ata ila mwsho akasema anampenz mwingine basi na Mimi toka hapo nikampotezea sa hivi ni salamu tu hata moyo hauumi tena kwanza wasichana warembo wako wengi sanaaaaaaa
kaka hongera kwa ku move on,,hyo ni same namimi,now naona kawaida tuu,, mschana sio wa kumpa iman sana,,, bila shaka alipata mtu mwingine
 
Angalia chanzo cha tatizo ni nini ukishakijua utaweza kusolve yaliyopo, nin kimebadilisha tabia yake? Tafuta core course of problem, otherwise watu watajibu kwa majibu ya kufikirika tuu watakuja na attributions nyingi sana kwamba huenda huenda, but ur the main pers to let us say somthing on this, tushawishi tuseme kitu, ila upo moro yeye yupo moshi then unasema amebadilika ni issue sana...hapokei simu amechange..kamma unampenda panda gari....physical precence ina maana sana mbele za mtu, yaweza kuwa ni distance tuu inasumbua afu wewe unasema hiv na hv.....distance r/ ship ina shida zake. Panda gar fuata yeye huta leta tena attribution utaleta mada labda JAMMANI NIMEKUTA AMESHAOA AU ANA MPENZI MWINGINE NINI CHA KUFANYA.... mifano lkn hyo....fanya hvo urudi humu, kamma huna nauli sema utumiwe ukanusuru penzi.
mkuu upo sahh,lakn hiyo ishu nilimaliza,bila shaka aliniacha yy miez michache nyuma, lakn nmekuja kujua kua alipatwa na mwngne mm wa uswaz nlisahaurika,no way, tupo likizo nmekutana nae naona kawaia
 
Kudate na mwanamke yeye yupo Chuo kingne ni Uongo hasa kama hajapataa mkopoo..!! Unakuta mdada anakuja kabisa na man wake pale chuo ilaa jamaa akiondoka tuu wanaa wengine wanaanza kulaa mishe...na mapenzi na jamaa akee yanaisha hata uwee unamjali vipi..distance huua mapenzi ya chuo. Usipoteze mda achana nae
 
Kudate na mwanamke yeye yupo Chuo kingne ni Uongo hasa kama hajapataa mkopoo..!! Unakuta mdada anakuja kabisa na man wake pale chuo ilaa jamaa akiondoka tuu wanaa wengine wanaanza kulaa mishe...na mapenzi na jamaa akee yanaisha hata uwee unamjali vipi..distance huua mapenzi ya chuo. Usipoteze mda achana nae
sahihi mkuu,, bt nilimove on ,
 
Back
Top Bottom