Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
- Thread starter
- #361
hahahahaaaMoyo umehamia kwa sponsor au loan board sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaaMoyo umehamia kwa sponsor au loan board sijui
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.
Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.
Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
hhahahahahahahahahahahahaaTatizo mabinti wengi wanafikiri watu wote wanaosomea SUA ni wakulima na ukichanganya na jina lako basi binti anamwaga mbio haraka mkuu. Tafuta mwingine
Wanawake wamekuwa waongo na warahisi sana siku hizi na hasa akijua mpo mbali na wewe anajiona ana uhuru sana, hivyo sio ajabu atakuwa ameshapata wa kumgonga hapo chuo.kaka hongera kwa ku move on,,hyo ni same namimi,now naona kawaida tuu,, mschana sio wa kumpa iman sana,,, bila shaka alipata mtu mwingine
Hahahah we unazingua ujue,,, enzi zangu namie niliishi na demu wangu ni raha sana mzee!Mkuu hao mademu wa chuo ni PASUA KICHWA..bora wanaokwenda chuo na kurudi HOME... Ila hao wa hostel wengi wanaishia kama WANA NDOA... wakiwa hostel....yaani DUME linaishi na BINTI kama mkewe...wakati wazazi wanaamini BINTI YAO YUPO CHUO...au mchumba anaamini MCHUMBA wake yupo CHUO.. KUMBE kafungiwa na DUME na anapika na kupakuwa...NA Kufanya shughuli zote kama MKE WA MTU..nawapa POLE WENYE wachumba VYUONI...tena HOSTEL
Mbali hivyo...wengine week mbili tu tayari kagonga/kagongesha nje!siamini katika mapenzi ya mbali mbali zaidi ya mwezi mmoja- miwili!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hasa kwa msichana kama huyo ambae kashaanza kuonyesha mabadiliko.
jiongeze ndugu!
Inauma sana pale unapompenda demu na kumthamini sana kiasi kwamba unaji sacrifice kwa lolote juu yake kisha anatumia udhaifu wako kukusaliti bila huruma. It really pains i feel you bro. Ila yataisha pole sana mkuu!Mwanangu hii story yako ni the same na mm...tangu mwaka jana mpnz wangu alibadilka mara tuache sex mpka tuonane,mara cm hapokei masaa hata 6 na watsapp anakuwa online anadelay kujib txt pia ikiwa nikimuulza kitu anajib kwa mood ya ukali nikaamua kumfuata hukohuko na baada ya uchunguz niligundua vitu vingi sana...sasa cha kukushaur nenda kmyakmya umtokee anapokaa kisha chukua cm yake utajua sabab na ukishaona ameanza kurukaruka na wanaume achana nae najua utaumia ila utasahau...mm baada ya kumfata niligundua vitu flan nikaona pia na my weakness nikaamua kuachana nae ila week mbili za mwanzo nimelia kidume mm lkn taratibu naanza kumsahau japo ni ngumu sana....ni pm au nipe namba yako nikushauri kitu coz maumiv ya hili nimeyapata cku chache zilizopta na cpo tayar kumuona mwenzangu akipitia hyo hali
HahahahahaSubiri Shift yako itafika mbona unataka vuruga ratiba ya mwezako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuhMbali hivyo...wengine week mbili tu tayari kagonga/kagongesha nje!
fanya shughuli nyingine hy kuna mdau kamuweka ndaniMimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.
Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.
Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
sawa mkuu upo sahhWanawake wamekuwa waongo na warahisi sana siku hizi na hasa akijua mpo mbali na wewe anajiona ana uhuru sana, hivyo sio ajabu atakuwa ameshapata wa kumgonga hapo chuo.
Ukifatilia kwa makini utakuja kukuta kuna mtu ameshaku replace. Ndivyo dada zetu walivyo so just tafta na wewe wako ili akishalizwa huko alipo akute na wewe una wako.
hahhhahaa,hadi ndani kabisafanya shughuli nyingine hy kuna mdau kamuweka ndani
yaaa brInauma sana pale unapompenda demu na kumthamini sana kiasi kwamba unaji sacrifice kwa lolote juu yake kisha anatumia udhaifu wako kukusaliti bila huruma. It really pains i feel you bro. Ila yataisha pole sana mkuu!
hahhahaAmia mweka mkawe pamoja siunajua closeness make love
saawa mkuuNasema hivi silaha za kumshinda mwanamke
1. Njunja vizur hata mkongo we paka
2. Toa pesa kwa wingi siziso na kuuliza uliza maana kuna wanaume mpaka aambiwe ndo anatoa we toa tu km chizi kaona makopo
3. Rudia namba 2
4. Click no 1