Angalia chanzo cha tatizo ni nini ukishakijua utaweza kusolve yaliyopo, nin kimebadilisha tabia yake? Tafuta core course of problem, otherwise watu watajibu kwa majibu ya kufikirika tuu watakuja na attributions nyingi sana kwamba huenda huenda, but ur the main pers to let us say somthing on this, tushawishi tuseme kitu, ila upo moro yeye yupo moshi then unasema amebadilika ni issue sana...hapokei simu amechange..kamma unampenda panda gari....physical precence ina maana sana mbele za mtu, yaweza kuwa ni distance tuu inasumbua afu wewe unasema hiv na hv.....distance r/ ship ina shida zake. Panda gar fuata yeye huta leta tena attribution utaleta mada labda JAMMANI NIMEKUTA AMESHAOA AU ANA MPENZI MWINGINE NINI CHA KUFANYA.... mifano lkn hyo....fanya hvo urudi humu, kamma huna nauli sema utumiwe ukanusuru penzi.