Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
WE TATIZO USHASEMA UNAMPENDA...NDIO TATIZO LA VIJANA WA KU=IUME WA SASA HIVI..YANI HAPO INA MAANA UMEKAA HUNA MTU ILA HUYO HUYO ALIYE MKOA MWINGINE.....NDIO MAAN AUNAPATA TABU...ILIBIDI UWE NA LIST KAMA WATU 6 HAPO...AJABU UNALIA LIA ETI HUMUELEWI....SASA UNATAKA AKAE NA KUTU HIZO WAKATI KAKUTANA NA WAJANJA TENA WALIOTOKA DAR
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Piga Kitabu achana na mapenzi. Kama huna pesa hakuna mapenzi.
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Vip mkuu mpak saiz upo nae kwan?
 
Tuma hela za kutosha kufanya penzi lenu lisife, no one is strong against money and remember women are very weak for money.

Usitume sms, tuma hela atakutumia sms yeye mwenyewe.
Hayo ni mawazo yako boss. Hujajua bado maana ya kupenda. Ninavyokusoma hapa wadhani kupata uchi wa mwanamke ndiyo kupendwa. Kupendwa ni zaidi ya hela mkuu. Uchi utaupata ndiyo lakini kama hupendwi hutaenjoy.
 
Kama unataka akutafute na akujali mpe hela we mpe hela tu..
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Chuo cha mweka ni chuo cha international ,na kna soma watu wenye pesa ivyo ni rahis kushawishka hasa akikutana na wakenya na s.afrika au Botswana ,ww ilo unakabiliana nalo vip? Una mpaga hela?
 
Chuo cha mweka ni chuo cha international ,na kna soma watu wenye pesa ivyo ni rahis kushawishka hasa akikutana na wakenya na s.afrika au Botswana ,ww ilo unakabiliana nalo vip? Una mpaga hela?
Nakubali
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Fimbo ya mbali haiui nyoka
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Tatizo unampa chai...jamaa anampa mkwanja...hauna chako dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom