Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Nadiriki kusifu tako la mkeo na mapaja yake .
Duh hata mguu wa bia anao, km si mgoni au watu wa kusini basi ni mnyamwezi au msukuma
angekuwa mchaga au mrangi ilikuwa ni kushika km fimbo Kosa kubwa sana jamaa kafanya kuachia joto la mkewe kwa wabebaji hao, hii kazi nikajifunzie wapi niwabebe hawa vimwana? maana hata ukiomba namba za simu hunyimwi
1588335492619.png
 
Unas
Duh hata mguu wa bia anao, km si mgoni au watu wa kusini basi ni mnyamwezi au msukuma
angekuwa mchaga au mrangi ilikuwa ni kushika km fimbo Kosa kubwa sana jamaa kafanya kuachia joto la mkewe kwa wabebaji hao, hii kazi nikajifunzie wapi niwabebe hawa vimwana? maana hata ukiomba namba za simu hunyimwi
View attachment 1436503
unasimama KATIKATI ya maji unamuambia Shem nahisi Kama tunazama ila ntajitahidi hapo umemgeuzia shingo unaomba namba kimyakimya
 
Duh hata mguu wa bia anao, km si mgoni au watu wa kusini basi ni mnyamwezi au msukuma
angekuwa mchaga au mrangi ilikuwa ni kushika km fimbo Kosa kubwa sana jamaa kafanya kuachia joto la mkewe kwa wabebaji hao, hii kazi nikajifunzie wapi niwabebe hawa vimwana? maana hata ukiomba namba za simu hunyimwi
View attachment 1436503
 
Mie namvusha mke halafu narudi jamaa ananivusha
hata mamba hawafanyi hivyo,
kitendo tu cha kumshusha ng'ambo na kugeuza unayachapa maji mimi nampa hela ya saluni. nauli kabisa na hela ya simu akifika Kijijini arudi Dar aachane na shida za kuvushwa nimpeleke Zanzibar kwa Azam Marine
ww mpaka upandishwe mgongoni na mwanamume mwingine ukifika tu mpaka ukauke tunakucheka
mzigo km huo si wa kuachia fisi tena ana nywele za kisabato bado hajajanjaruka huyo
 
Mie namvusha mke halafu narudi jamaa ananivusha
Wife tena...jamaa kaleta utani sana.Pale ndio U Terminator unakuja kwanza.
Hata wakati anasimulia Toddlers about their Dady.With a big smile.
''Baba yenu mwoneni tu vile..amewahi kunivusha kwenye Mamba😎😎''
Mkuu take care...Barakoa..Mnawe Mikono.Tunza shemeji na watoto.Jmosi njema.
 
Duh hata mguu wa bia anao, km si mgoni au watu wa kusini basi ni mnyamwezi au msukuma
angekuwa mchaga au mrangi ilikuwa ni kushika km fimbo Kosa kubwa sana jamaa kafanya kuachia joto la mkewe kwa wabebaji hao, hii kazi nikajifunzie wapi niwabebe hawa vimwana? maana hata ukiomba namba za simu hunyimwi
View attachment 1436503
Hizi shati mbona ka za mgodini, jamaa atakuwa alifuata house girl kijijini kwao, huko anakompeleka sijui Kama Kuna amani tena
 
Back
Top Bottom