jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ndiyo,ni hapa Rujewa.
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo wa umeme unaoendelea.
Tatizo hilo la kutopatikana kwa umeme limesababisha hasara kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao la mpunga hali inayopelekea kutokukobolewa kwa wakati mazao yao.
RiP JPM!
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo wa umeme unaoendelea.
Tatizo hilo la kutopatikana kwa umeme limesababisha hasara kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao la mpunga hali inayopelekea kutokukobolewa kwa wakati mazao yao.
RiP JPM!