Hapa Rujewa, Mbarali umeme kwa sasa ni kitu ghali mno na nadra sana kupatikana

Hapa Rujewa, Mbarali umeme kwa sasa ni kitu ghali mno na nadra sana kupatikana

Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana


Mmeshatajiwa eneo, mnapaswa kufuatilia taarifa kama sahihi au sio sahihi....kama ni sahihi mnapaswa kuact haraka kumaliza tatizo..
 
Chini ya hawa ndugu zangu wa kijani,, matatizo ni palepale
 
Pole sana...

Ngoja waje kukupa muongozo Kwa kukuomba location...
 

Ileje , Habari njema kwako. Bwana Yesu anarudi upesi. Tubu dhambi na kuziacha, umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Ukikataa, halafu Yesu arudi ama ufe na hizi chuki zako za kipumbavu, unakwenda jehanum moja kwa moja. Hakuna nafsi nyingine tena. Ujumbe nimekufikishia na yeyote mwenye roho kama yako asomaye ajue. Wengine muwaambie.
 
Ileje , Habari njema kwako. Bwana Yesu anarudi upesi. Tubu dhambi na kuziacha, umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Ukikataa, halafu Yesu arudi ama ufe na hizi chuki zako za kipumbavu, unakwenda jehanum moja kwa moja. Hakuna nafsi nyingine tena. Ujumbe nimekufikishia na yeyote mwenye roho kama yako asomaye ajue. Wengine muwaambie.
Una akili timamu kichwani au umejaza kamasi! Wahi Mirembe kwa matibabu shetani mkubwa wee!
 
Back
Top Bottom