πππππππππNinyi mmeelezwa tatizo namba ya simu ya nini, HAYA matatizo ya kukatika umeme yamekua sugu sana nchini
Wanataka kutupiana wananchi zigo! Kwamba hawatupatii taarifa.Pumba nyie kma ndio nyie acheni porojo za urojo fanyeni kazi
Tunaamini kuwa mtatupatia taarifa kamili kwa huduma boraWanataka kutupiana wananchi zigo! Kwamba hawatupatii taarifa.
Ofisi zao kila mkoa na wilaya Zina kazi gani mpaka watake mwananchi atoe taarifa?
Amewatajia mpaka na pahala husika.Tunashukuru kwa taarifa tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa urahisi wa kufatilia na kuchukua hatua stahiki
TANESCO Makao Makuu
Huduma kwa Wateja
Haina maana kuwa hatufatilii lakini tunapenda kupata taarifa kamili kwa wepesi kufatiliaAmewatajia mpaka na pahala husika.
Akijulikana na namba za simu ili aje atishwe tishwe.
Fuatilieni au kama mnakanusha mkanusha kwa utaalamu wenu.
Mana tumeona kuanzia tarehe nane mwezi huu kuna ufundu unaendelea na kuna baadhi ya sehemu zitakosa huduma muhimu hiyo.
SawaHaina maana kuwa hatufatilii lakini tunapenda kupata taarifa kamili kwa wepesi kufatilia
ndugu zangu hii nchi ina mambo ya hovyo sana.......alisikika JPMπ€Ndiyo,ni hapa Rujewa.
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo wa umeme unaoendelea.
Tatizo hilo la kutopatikana kwa umeme limesababisha hasara kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao la mpunga hali inayopelekea kutokukobolewa kwa wakati mazao yao.
RiP JPM!
ndugu zangu hii nchi ina mambo ya hovyo sana.......alisikika JPMπ€Ndiyo,ni hapa Rujewa.
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo wa umeme unaoendelea.
Tatizo hilo la kutopatikana kwa umeme limesababisha hasara kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao la mpunga hali inayopelekea kutokukobolewa kwa wakati mazao yao.
RiP JPM!
Token I zenu huko wala hamna msaada walaghai wakubwa nyie!Tunashukuru kwa taarifa tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa urahisi wa kufatilia na kuchukua hatua stahiki
TANESCO Makao Makuu
Huduma kwa Wateja
..kwa huduma ipi bora mliyonayo wapuuzi nyie?!Tunaamini kuwa mtatupatia taarifa kamili kwa huduma bora
Hahaha[emoji23]Walinda legacy bhana.
Hili dodoso kubwa sana.... Wasiliana na meneja wako wa Wilaya ana taarifa zoteNdugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Ndiyo,ni hapa Rujewa.
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo wa umeme unaoendelea.
Tatizo hilo la kutopatikana kwa umeme limesababisha hasara kubwa kwa wakulima na wafanyabiashara wa zao la mpunga hali inayopelekea kutokukobolewa kwa wakati mazao yao.
RiP JPM!
TANESCO wanatakiwa wawe wanatuwashia umeme mara moja kwa wiki inatosha hasa J2 siku ya ibada siku zingine tutumie mbalamwezi inatosha
Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Asante sana mpendwa mteja wetu
Asante sana mpendwa mteja wetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pumba nyie kma ndio nyie acheni porojo za urojo fanyeni kazi