Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
Mmeshatajiwa eneo, mnapaswa kufuatilia taarifa kama sahihi au sio sahihi....kama ni sahihi mnapaswa kuact haraka kumaliza tatizo..
Mkuu umeme ni hisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu
Ileje , Habari njema kwako. Bwana Yesu anarudi upesi. Tubu dhambi na kuziacha, umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Ukikataa, halafu Yesu arudi ama ufe na hizi chuki zako za kipumbavu, unakwenda jehanum moja kwa moja. Hakuna nafsi nyingine tena. Ujumbe nimekufikishia na yeyote mwenye roho kama yako asomaye ajue. Wengine muwaambie.
Duuh..[emoji28]TANESCO wanatakiwa wawe wanatuwashia umeme mara moja kwa wiki inatosha hasa J2 siku ya ibada siku zingine tutumie mbalamwezi inatosha
Una akili timamu kichwani au umejaza kamasi! Wahi Mirembe kwa matibabu shetani mkubwa wee!Ileje , Habari njema kwako. Bwana Yesu anarudi upesi. Tubu dhambi na kuziacha, umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Ukikataa, halafu Yesu arudi ama ufe na hizi chuki zako za kipumbavu, unakwenda jehanum moja kwa moja. Hakuna nafsi nyingine tena. Ujumbe nimekufikishia na yeyote mwenye roho kama yako asomaye ajue. Wengine muwaambie.