Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
TAARIFA YA MATENGENEZO YA DHARURA KWENYE MIUNDO MBINU YETU YA UMEME
Habari wapendwa wateja wetu
Tunaomba kuwataarifu kuwa tunalazimika kuzima huduma ya umeme ili kuruhusu mafundi Kuunganisha mradi utakaosaidia kuboresha upatikanaji wa umeme maeneo ya ubungo makao makuu.
SIKU: Jumamosi
TAREHE. 15/03/2025
MUDA
Kuanzia Saa 04:30 Asubuhi Hadi Saa 05:00 Asubuhi kwa muda wa nusu saa
MAENEO YANAYOATHIRIKA
KMARA, KIBO, KIMARA ROMBO, KIMARA BARUTI, DOCHA, KONA, KIMARA BUCHA, KOROGWE, RESORT, KIMARA MWISHO, KIMARA MAVURUNZA, GOLANI, KIMARA MICHUNGWANI, MATETE, KAM COLLEGE, EBONITE NA MAENEO YA JIRANI, Tanroad ubungo , PVC ubungo na Maeneo Jirani.
Tunawaomba radhi wateja wetu kipindi hiki tunachoendelea kuboresha miundombinu ya umeme.
Kwa taarifa au ulizo wasilana nasi kwa namba 0756251753 au 0748550000
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja
Tanesco Kinondoni Kusini
15/03/2025
Habari wapendwa wateja wetu
Tunaomba kuwataarifu kuwa tunalazimika kuzima huduma ya umeme ili kuruhusu mafundi Kuunganisha mradi utakaosaidia kuboresha upatikanaji wa umeme maeneo ya ubungo makao makuu.
SIKU: Jumamosi
TAREHE. 15/03/2025
MUDA
Kuanzia Saa 04:30 Asubuhi Hadi Saa 05:00 Asubuhi kwa muda wa nusu saa
MAENEO YANAYOATHIRIKA
KMARA, KIBO, KIMARA ROMBO, KIMARA BARUTI, DOCHA, KONA, KIMARA BUCHA, KOROGWE, RESORT, KIMARA MWISHO, KIMARA MAVURUNZA, GOLANI, KIMARA MICHUNGWANI, MATETE, KAM COLLEGE, EBONITE NA MAENEO YA JIRANI, Tanroad ubungo , PVC ubungo na Maeneo Jirani.
Tunawaomba radhi wateja wetu kipindi hiki tunachoendelea kuboresha miundombinu ya umeme.
Kwa taarifa au ulizo wasilana nasi kwa namba 0756251753 au 0748550000
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja
Tanesco Kinondoni Kusini
15/03/2025