Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

Pole!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😅😅😅😅😅😅😅😅👆😅😅😅😅😅😅😅😅😅😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🍷🚴🚴🍷🍷🍷🍷🍷
 
Hongera mtabiri 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hongera mtabiri 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Gentleman,
mimi sio mtabiri ni mtafiti na mchambuzi mbobevu katika masuala ya siasa, sawa ee? waambie na wazazi juu ya hilo kuepusha uoptoshaji 🐒
 
Nyie ndo mmemponza Aikael, angekubali kustaafu kwa heshima.
 
kura za wajumbe zimethibitishwa tayar gentleman,

niambie kanda 4 tu ambazo Lisu anaweza kumshinda mbowe
kati ya zilivyoorodheshwa ?[emoji205]

huko online mlikua wajumbe wangapi kwa mfano gentleman kwa faida ya waDau ?
Aibu yako.
 
Haya ndo mambo ya Calculator
 
Mwenyezi-Mungu ambariki Simba Tundu Antipas Lissu katika uongozi wake. Viva Simba Tundu Antipas Lissu viva.
 
Baada ya matokeo naona Mbowe hapigi makofi tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…