Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

BAVICHA wamezitafuna sana hizo tangu jana 🐒
images(13)(1)~2-2.jpeg
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Pole!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😅😅😅😅😅😅😅😅👆😅😅😅😅😅😅😅😅😅😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🍷🚴🚴🍷🍷🍷🍷🍷
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hongera mtabiri 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hongera mtabiri 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Gentleman,
mimi sio mtabiri ni mtafiti na mchambuzi mbobevu katika masuala ya siasa, sawa ee? waambie na wazazi juu ya hilo kuepusha uoptoshaji 🐒
 
Nyie ndo mmemponza Aikael, angekubali kustaafu kwa heshima.
 
kura za wajumbe zimethibitishwa tayar gentleman,

niambie kanda 4 tu ambazo Lisu anaweza kumshinda mbowe
kati ya zilivyoorodheshwa ?[emoji205]

huko online mlikua wajumbe wangapi kwa mfano gentleman kwa faida ya waDau ?
Aibu yako.
 
kwa mfano kanda ya kaskazini kati ya wajumbe 118, ni wazi 100 watampigia mbowe zilizobaki watagawana wengine,

kwenye kanda zenye wajumbe chini ya mia, ni wazi mbowe hawezi kukosa kura chini ya 65, huku zile zenye wajumbe chini ya 80, mbowe anaweza kupata kura zaidi ya 60 zilizobaki watagawana wengine.

Ku na kanda mbowe anauwezekano akakomba kura zote wengine wakagawana sifuri gentleman [emoji205]
Haya ndo mambo ya Calculator
 
Mwenyezi-Mungu ambariki Simba Tundu Antipas Lissu katika uongozi wake. Viva Simba Tundu Antipas Lissu viva.
 
Baada ya matokeo naona Mbowe hapigi makofi tena!
 
Back
Top Bottom