Uchaguzi 2020 Hapatoshi Singida Kaskazini, Nyalandu vs Ramadhani Ighondu

Mpaka sasa majimbo matatu ya mkoa wa Singida ni hakika 100% mikononi mwa CHADEMA. Singida Kaskazini na lililokuwa la Tundu Lissu Singida Mashariki ama Ikungi + Singida Mjini.
 
NyArandu mapema tu anashinda
 
Sio Ulimboka tu. Hata maiti za kwenye viroba amehusika sana. Anapewa ubunge kama tuzo ya kazi nzuri.

CCM wananuka damu.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Sura za kiuaji hazijifichi kabisa
 
Hiyo ni sura tuu ya ushamba mkuu, lakini roho iliyomo humo sii mchezo.

Kumng'oa kucha binadamu bila ganzi kwake sio hoja na hahitaji kunywa KVant kupotezea hisia
Mama yangueeee! Mungu twakuomba utunususuru na roho za kichawi kama hizi.Kinyama kikiotea tu kwenye kucha kinauma,sembuse kungolewa kucha bila ganzi? Dr Ulimboka popote ulipo pole sana, ila amini kuwa Mungu hanaga usingizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…