The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Mpaka sasa majimbo matatu ya mkoa wa Singida ni hakika 100% mikononi mwa CHADEMA. Singida Kaskazini na lililokuwa la Tundu Lissu Singida Mashariki ama Ikungi + Singida Mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeyeSiye huyu Ighondi Aliyehusishwa na kutekwa kwa Dr Ulimboka miaka ile?!
Unajuaje? Acha uongo wako kila kitu watu wanajuaSio yeye
Aisee, umenikumbusha mbali sana. Kilangila.Siye huyu Ighondi Aliyehusishwa na kutekwa kwa Dr Ulimboka miaka ile?
Alimeza, Teh, teh, teh kama mchawi vile! Kilangila.Hivi huyu jamaa kucha na meno ya Doctor Ulimboka alipeleka wapi ?
af kavaa shati juu ya shati bwege huyo c huyo mwenye miwani au
NyArandu mapema tu anashindaHili ni moja ya jimbo gumu sana upande wa CCM baada ya kinachosemekana kua ni makosa ya kamati kuu ya CCM kuwawekea mtu ambaye hafahamiki kabisa kushindanisha na Lazaro Nyalandu ambaye amekua kipenzi cha jamii ya watu wa eneo hilo.
Wenyeji wa ukanda huo wanasema Lazaro hatapata tu kura za Wanachadema pekee, bali ni hata WanaCCM ambao wanajua miaka yote kua yeye ndiye mbunge wao.
Huyu bwana Ramadhani Ighondo ambaye anatajwa kua ni mtumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu siyo mtu wa maneno sana ispokua ni mtu wa mikakati sana kiasi kwamba kumuelewa kwa kumtazama tu siyo rahisi.
Wanasingida Kaskazini twasubiri kipenga tuone mtanange huu. kikubwa refa awe fair na hata asipokuwa fair atashindwa kubeba mtu maana mbunge anajulikana mpaka sasa.
Uyo mwenye majonzi, hofu na aibuNdo yupi kati ya hawa?
Sura za kiuaji hazijifichi kabisaHili ni moja ya jimbo gumu sana upande wa CCM baada ya kinachosemekana kua ni makosa ya kamati kuu ya CCM kuwawekea mtu ambaye hafahamiki kabisa kushindanisha na Lazaro Nyalandu ambaye amekua kipenzi cha jamii ya watu wa eneo hilo.
Wenyeji wa ukanda huo wanasema Lazaro hatapata tu kura za Wanachadema pekee, bali ni hata WanaCCM ambao wanajua miaka yote kua yeye ndiye mbunge wao.
Huyu bwana Ramadhani Ighondo ambaye anatajwa kua ni mtumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu siyo mtu wa maneno sana ispokua ni mtu wa mikakati sana kiasi kwamba kumuelewa kwa kumtazama tu siyo rahisi.
Wanasingida Kaskazini twasubiri kipenga tuone mtanange huu. kikubwa refa awe fair na hata asipokuwa fair atashindwa kubeba mtu maana mbunge anajulikana mpaka sasa.
Watu wanateua watekaji kuwa wabunge hii nchi haina viongozi aiseeAlimeza, Teh, teh, teh kama mchawi vile! Kilangila.
Ndiye huyo huyo mkuu,wasiojulikana wanalipwa fadhila kwa kupewa kugombea nafasi za kisiasa.Hatari!Siye huyu Ighondi Aliyehusishwa na kutekwa kwa Dr Ulimboka miaka ile?
Anaonekana mhuni flani na mlevi mlevi tuAlievaa cap,,ndo mwenyewe mzalendo wa kweli,ighondo
Hatimae ameamua kujiingiza kwenye siasa alikusudia kumuua ULI kwa mikono yake Mungu huyu!!!! ngoja asubiri laana ianze kufanya kazi.Mtesi wa Dr Ulimboka
Mama yangueeee! Mungu twakuomba utunususuru na roho za kichawi kama hizi.Kinyama kikiotea tu kwenye kucha kinauma,sembuse kungolewa kucha bila ganzi? Dr Ulimboka popote ulipo pole sana, ila amini kuwa Mungu hanaga usingizi.Hiyo ni sura tuu ya ushamba mkuu, lakini roho iliyomo humo sii mchezo.
Kumng'oa kucha binadamu bila ganzi kwake sio hoja na hahitaji kunywa KVant kupotezea hisia
[emoji23] ngoja akusikieCHINJA CHINJA. RAMA
Damu za watu zinamliliaHuo mwonekano mbona kama teja hivi? Hata akitabasama ni kama analia.