Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
hahaha shem unajua nini eeh! yaani hapa najaribu kuangalia hiyo avatar yako huku nakupiga picha unakura ugali kwa picha ya samaki hahahahahah!...duuh viazi na maziwa na mgando?.....lazima uharibu hali ya hewa hahahahah!
Balantanda na OPP!...Duh hiyo ndiyo breakfast yenu huko sukumani?basi msukuma wangu kanificha maana anajua miye sili starch.....i am more into veggie hahahahah!....hivyo viazi lazima ukose choo for takriban one week....
Mlenda unakula?
Yeah ugali mgumu uliopaliwa kwa mkaa(kama wali) na nyama iliyopikwa kwa samli pamoja na mlenda ulowekwa karanga(nswalu)..Asubuhi unapata breakfat ya viazi vya kuchemsha au matovolwa yaliyopikwa na maziwa mgando...Hapa lazima ucope na accent yetu aisee
hahaha shem unajua nini eeh! yaani hapa najaribu kuangalia hiyo avatar yako huku nakupiga picha unakura ugali kwa picha ya samaki hahahahahah!...duuh viazi na maziwa na mgando?.....lazima uharibu hali ya hewa hahahahah!
jamani hiyo avatar ya mpendwa wangu imekaa ki-mwanakondoo (mpole)!!!! mlaini!!!! mayai mayai!!!! sas linapokuja suala la dona na mlenda duh!!!!
jamani hiyo avatar ya mpendwa wangu imekaa ki-mwanakondoo (mpole)!!!! mlaini!!!! mayai mayai!!!! sas linapokuja suala la dona na mlenda duh!!!!
Ni kwel hiyo Avatar yake na mambo yake vina utata kabisa....huwa naiangalia sana hiyo avatar ya shem wangu alafu nasema mmh "Simba mwenda pole"....
ila kiulwei kweli...shem wangu kaenda shule (meaning ametuliya)....
hapo kwenye red umekamilisha siku yangu vizuri wacha nikalale kwa amani!!! shosti ngoja nikajaribu kudigest ya mpendwa wangu na ya Jery Muro na KOva afu nione kesho naanzaje siku.
You stay blessed gurlie!!!
And you mzee wa madialect....OPP sijui nikuagake ile creole ya Haiti ya kwaheri sijainyaka bado!!!
hapo kwenye red umekamilisha siku yangu vizuri wacha nikalale kwa amani!!! shosti ngoja nikajaribu kudigest ya mpendwa wangu na ya Jery Muro na KOva afu nione kesho naanzaje siku.
You stay blessed gurlie!!!
And you mzee wa madialect....OPP sijui nikuagake ile creole ya Haiti ya kwaheri sijainyaka bado!!!
utanikondesha mwenzio kupika milo heavy from one meal to the next??? lakini ndo mapenzi sina ujanja!!!
jamani hiyo avatar ya mpendwa wangu imekaa ki-mwanakondoo (mpole)!!!! mlaini!!!! mayai mayai!!!! sas linapokuja suala la dona na mlenda duh!!!!
Heheeeeeeeeeee...aaaaah..Mi mgumu bana,sio mayai wala nini
Rumour has it kuwa aliyevishwa pete wala siyo Happyness aka Millen Magese...Ni John Mashaka kamvalisha mwanamke pete huko TZ....Na hiyo pete ilikuwa ya thamani hiyo ila John kaipata kwenye deal na analipia monthly!......
kheeeeeeeeeeee tena????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!
yeah shostito..habari ndiyo hiyo nashangaa jina la mdada wa watu limetokea wapi!.....