Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Hapo mwanzoni utendaji ulikuwa mgumu kutokana na kutumia majengo yenye ufinyu wa ofisi na kuchelewesha huduma kwa wananchi.
Hali imebadilika baada ya Rais Samia kuwajengea jengo jipya la halmashauri ya Bumbuli ambalo limerahisisha huduma kwani lipo katikati ya halmashauri hiyo lakini linatoa nafasi kwa ukubwa wake katika kuhudumia wananchi.
Wana Bumbuli wana Furaha.
Hali imebadilika baada ya Rais Samia kuwajengea jengo jipya la halmashauri ya Bumbuli ambalo limerahisisha huduma kwani lipo katikati ya halmashauri hiyo lakini linatoa nafasi kwa ukubwa wake katika kuhudumia wananchi.
Wana Bumbuli wana Furaha.