Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Mwache aishi anavyotaka baadae huwa wanajuta
 
yamepita,wife karudi nyumbani. watoto wetu wamefurahia sana.

sasa nataka namimi nimpige tukio
Sio poa kulipiza ila wewe ni mtu mzima yamkini kwa jinsi ulivyoeleza hapa huyo mkeo lazima Kaku cheat, kwa hiyo malizana naye tu kiutu uzima. Muhimu akiri maisha yaendelee, akikomaza shingo muache tu ipo sku utamkuta live jamaa akiwa ameloweka dudu lake.
 
Usimuwazie negative mkuu amini ametingwa au ana changamoto ilio nje ya uwezo wake!
Mwanamke wa kibongo akitingwa huwa tunaelewa ila sio kutingwa kwa style hio na vichambo juu🤣🤣🤣!

Mwanamke wa kibongo akishaanza kukwambia una wivu sana na mapenzi hadi unambana mno jua tu tayari mgombea mwenza ameshakupora jimbo 🤣
 
Wanaume tunapungua sana, siombagi ushauri wa mapenzi.

Body yavwakurugenzi wa kichwa changu inatosha kufanya maamuzi
Maamuzi magumu tu, akirudi unamkabidhi mabegi yake aende ambako alikuwa week nzima 🤣 shida ya kulishwa na mwanamke ndio hio hapo.
 
Maamuzi magumu tu, akirudi unamkabidhi mabegi yake aende ambako alikuwa week nzima 🤣 shida ya kulishwa na mwanamke ndio hio hapo.
Umesema kweli, wanaumebsiku hizi wanapenda mteremko watafutiwe na wanawake...huu ujinga siutakagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…