Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hizi ndio Nyimbo wanazo penda BASATA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumekuchaaaAdi wanawake wanaaga kwenda kikazi kumbe wanaenda kufanya janja janja
Bado unahisi haiko salama au Tayari haiko Salama kabisa.sina amani ,mali yangu nahisi haiko salama
HahahaaKwa mademu wa dar kama hauna kazi hakuna rangi utaacha kuona dingilai, ni kwerekweche
Mnununlie simu mpya uje tumhack. Utampatia kama zawadi . Utajua kila kitu. Tumia akiliNdugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Jamaa yupo na mkewe anamgharamia kila kitu Ila mkewe kampenda mshkaji wa kawaida tu anataka awe mtu wake wa pembeni anamkunja na kumkunjua kila anapohitaji, sometimes mnapenda Pesa Ila hamumpendi anaetoa PesaAdi wanawake wanaaga kwenda kikazi kumbe wanaenda kufanya janja janja
Ulisikia wapi Mwanaume anatosheka na Mwanamke mmoja, kuna mwenzio kapokonywa gari gari ya Mwanamke jamaa Mwanamke akisafiri anavuta wanawake wengine anawala Mwanamke kagundua kachukua gari yakeUkiona mwanamke anakusumbua we mtafutie mchepuko tu huwa wanachanganyikiwa
chief uko na mwanamke malaya.Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Kwan uongo masta ?Hahahaa
Aiseeee khaaaHizi ndio Nyimbo wanazo penda BASATA
sawa chiefPole sana ndugu yangu kama hiki kisa ni cha kweli na huyu ni mke wako basi hesabu maumivu.
Kwa kuwa umeshaumia basi tunaomba yatokanayo utusmuliw mlikutana wapi mlianza vipi Mahusiano ili tuokoe vijana wengine.
Yangu ni hayo tu.
hii muhimu sanaHakikisha unapima HIV kwanza......umeme sasa hivi umepaa sana
watoto wetu walelewe na nani?We vuta pisi kula acha siteresi utakufa utuachie uyo mke tumkule vizuri
Peleke kwa bibi ukowatoto wetu walelewe na nani?
Ulifika dodoma salama? Hujampata bado?watoto wetu walelewe na nani?
Acheni kuonea wazazi wenu kwa mambo ya kipumbavu kama haya. Leeni watoto wenu wenyewePeleke kwa bibi uko
bado sijampataUlifika dodoma salama? Hujampata bado?