Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Salalaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?we jamaa unaroho mbaya kichizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]et we zombii[emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
sijajua kama yusalama huko alikoAcha usumbufu, akimaliza kazi si atarudi!!!
haujui ! haloo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]et we zombii[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuwaambie ukweli ili watu wawe wanajua kwamba kama wao wamebaki dar na wake zao wako dom ni tatizo kubwaaaKabisa binafsi ni shuhuda wa hili hasa yale maeneo ya mtumba pale magufuli city kunakojengwa ofisi za wizara zote unazozijua pamechafuka sana pale
halooTuwaambie ukweli ili watu wawe wanajua kwamba kama wao wamebaki dar na wake zao wako dom ni tatizo kubwaaa
Si ndio ukweli huo mzee wa objective ballhaloo
Aisee pole sana mkuu ukiona manyoya ujue kuku keshaliwa.Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Hao mbuzi hata sio wa kuwa amin kabisa tena akirud jfanye huna habari nae hata mwez mzmaNdugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Kuna vitu mnajitakia vijana, unaoaje mwanamke anaye fanya kazi ? Ili iweje yaani ?usiombe yakukute chief
inaumiza sana chiefHao mbuzi hata sio wa kuwa amin kabisa tena akirud jfanye huna habari nae hata mwez mzma
tulianza kudate miaka hiyo, ajira imetukuta mbeleni tuKuna vitu mnajitakia vijana, unaoaje mwanamke anaye fanya kazi ? Ili iweje yaani ?
Kaeni myafikirie haya.
Angekua kaenda Nachingwea ningesema tulia bro atarudi salama. Ila kwa Dodoma hapana.harakati za kumtafuta zinaendelea, ili nijue yuko salama ama kakumbwa na umauti ,kwenye hizi kumbi za walatino -profesa j (nikusaidieje)
Pole sana ndugu yangu kama hiki kisa ni cha kweli na huyu ni mke wako basi hesabu maumivu.Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Wenyewe wanadai eti wasaidiane maisha🤣🤣🤣Kuna vitu mnajitakia vijana, unaoaje mwanamke anaye fanya kazi ? Ili iweje yaani ?
Kaeni myafikirie haya.
Hakikisha unapima HIV kwanza......umeme sasa hivi umepaa sanainaumiza sana chief