MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Umeyatimba rmx
👹
👹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dohMatatizo ya kuoa mtumishi anayekuzidi hela ndio hayo.
Mwache aishi anavyotaka baadae huwa wanajutaNdugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.
Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.
Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.
Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
noted chiefMwache aishi anavyotaka baadae huwa wanajuta
Kuna dada nilikuwa naye pestana nacheza nae, simu yake illiita mezani akaenda kupokea , nahisi ndio mke wa jamaa.Huko dom ni hatari na hiyo zombi haujui alikuwa yupo bambalaga masta
Ahahaha Prstana tena ahahaha ahahahaKuna dada nilikuwa naye pestana nacheza nae, simu yake illiita mezani akaenda kupokea , nahisi ndio mke wa jamaa.
Ila mzee mkeo ana zigo sio poa
yamepita,wife karudi nyumbani. watoto wetu wamefurahia sana.Kuna dada nilikuwa naye pestana nacheza nae, simu yake illiita mezani akaenda kupokea , nahisi ndio mke wa jamaa.
Ila mzee mkeo ana zigo sio poa
sio poah chiefIngawa hatuna evidence to commit her guilty, Ila ibaki tu kusema ukiona manyoa jua keshaliwa. Hawa wanawake wanaofanya kazi kuwaoa yataka moyo wa kufuli la solex
Sio poa kulipiza ila wewe ni mtu mzima yamkini kwa jinsi ulivyoeleza hapa huyo mkeo lazima Kaku cheat, kwa hiyo malizana naye tu kiutu uzima. Muhimu akiri maisha yaendelee, akikomaza shingo muache tu ipo sku utamkuta live jamaa akiwa ameloweka dudu lake.yamepita,wife karudi nyumbani. watoto wetu wamefurahia sana.
sasa nataka namimi nimpige tukio
Hahahah ameisha huyoC
hukua neno (mapenzi ya kizamani) this means ulishatemwa zamani na sasa ana chombo kipya.
Kama unabisha nipe kazi ya ikachero nikujulishe wapi aliko ma yuko na nani😂
🤣🤣🤣Anakuwa anatombeeewah dailyMatatizo ya kuoa mtumishi anayekuzidi hela ndio hayo.
Mwanamke wa kibongo akitingwa huwa tunaelewa ila sio kutingwa kwa style hio na vichambo juu🤣🤣🤣!Usimuwazie negative mkuu amini ametingwa au ana changamoto ilio nje ya uwezo wake!
Hahahayamepita,wife karudi nyumbani. watoto wetu wamefurahia sana.
sasa nataka namimi nimpige tukio
Wanaume tunapungua sana, siombagi ushauri wa mapenzi.Hahahah ameisha huyo
Ugoro puani?Hahaha
Mpe ugoro afu mwambie achuchumae apige chafya,kama hujaona wazunguu wa mume mwenzio wakichuruzika😂😂😂
Maamuzi magumu tu, akirudi unamkabidhi mabegi yake aende ambako alikuwa week nzima 🤣 shida ya kulishwa na mwanamke ndio hio hapo.Wanaume tunapungua sana, siombagi ushauri wa mapenzi.
Body yavwakurugenzi wa kichwa changu inatosha kufanya maamuzi
Umesema kweli, wanaumebsiku hizi wanapenda mteremko watafutiwe na wanawake...huu ujinga siutakagiMaamuzi magumu tu, akirudi unamkabidhi mabegi yake aende ambako alikuwa week nzima 🤣 shida ya kulishwa na mwanamke ndio hio hapo.
Eeh abuse huku kachuchumaa,akipiga chafya lazima wazunguu watokee🤣🤣🤣Ugoro puani?