Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Unitagnitaweka chief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unitagnitaweka chief
mkuu unafurahia alichonifanyia wife?Malizia basi kutupa mkasa mzima jinsi ulivyompata na ilikuwaje ?
nitajitahidiUnitag
Hapana Mkuu sijafurahia nilitaka kujua tu ilikuwaje ?mkuu unafurahia alichonifanyia wife?
mimi nitaimalizia akili ikikaa sawa
Ila apate ushahidi kwanzaAisee ..kama hii story yako ina ukweli basi hapa hadi sasa hamna ndoa kati yenu ni mnalea watoto tuuu!
Kama umempata muulize maswali kwanini hapatikani asipokupa majibu ya kuridhisha hakikisha umemchapa makofi hadharani yani uhakikishe umemchapa makofi hadharani….
Mwanamke kama huyu lazima akuue kwa presha au ukimwi …kwanza ni aibu kwako maana hata jambo hili hukupaswa kumshirikisha mtu yeyote ungelifanya kimya ona sasa hadi nduguzo wamejua mke wako ni malaya hadi anafikia kukuzimia simu…
Hii aibu sijui utaifuta vipi lakini kwanza hakikisha umemchapa makofi mbele hata za nduguzo halafu mwambie pale pale kuwa ndoa yenu imeishia hapo..kinyume na hapo aje na maelezo ya kuaminika au yanayo eleweka halafu ondoka kabisa urudi nyumbani…
Mwanamke msaliti hatakiwi kusamehewa kamwe kamwe….bado nasisitiza kama hii story ni kweli huyu mkeo unapaswa kumfunza adabu kabisa!
Ukweli ni kwamba hii habari inatia hasira sana…
sahihi chiefAisee ..kama hii story yako ina ukweli basi hapa hadi sasa hamna ndoa kati yenu ni mnalea watoto tuuu!
Kama umempata muulize maswali kwanini hapatikani asipokupa majibu ya kuridhisha hakikisha umemchapa makofi hadharani yani uhakikishe umemchapa makofi hadharani….
Mwanamke kama huyu lazima akuue kwa presha au ukimwi …kwanza ni aibu kwako maana hata jambo hili hukupaswa kumshirikisha mtu yeyote ungelifanya kimya ona sasa hadi nduguzo wamejua mke wako ni malaya hadi anafikia kukuzimia simu…
Hii aibu sijui utaifuta vipi lakini kwanza hakikisha umemchapa makofi mbele hata za nduguzo halafu mwambie pale pale kuwa ndoa yenu imeishia hapo..kinyume na hapo aje na maelezo ya kuaminika au yanayo eleweka halafu ondoka kabisa urudi nyumbani…
Mwanamke msaliti hatakiwi kusamehewa kamwe kamwe….bado nasisitiza kama hii story ni kweli huyu mkeo unapaswa kumfunza adabu kabisa!
Ukweli ni kwamba hii habari inatia hasira sana…
unaitwaUnitag
nitajitahidiKama umemuoa hujaolewa tafuta ushahidi ukithibitisha chukua maamuzi sahihi
Nimeshakuja.unaitwa
next time madamNimeshakuja.
Unaandika maelezo mafupi mafupi. Malizia basi
Okay..polenext time madam
Akirudicunasahau yote!Uje utupe mrejesho.sina amani ,mali yangu nahisi haiko salama
sawa chiefAkirudicunasahau yote!Uje utupe mrejesho.