Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

3:Simulizi sehemu ya tatu ya mgogoro wa ndoa yangu.


Basi baada ya kupokea simu ngeni yenye maelekezo alipo mkewangu, nikawatarifu wadogo zangu pamoja na yule mshikaji uelekeo wetu ukawa ni maeneo ya makole (near pssf tower) pale pale dodoma

Kitu ambacho sikutaka kitokee ni aibu mbele ya hawa wadogo zangu , nikajaribu kupiga namba ya wife mybe nimpate hewani ,bahati nzuri simu ikawa inaita baada ya muda akapokea .

Mkewangu akawa anazungumza kama katoka usingizini,tena usingizi mzito huku akidai kazi zime mchosha. Basi nikamuuliza ukowapi mda huu!?

Akanijibu nipo sehemu × , nimaarufu sana kwa mitaa ile, nikamjibu kuwa hata mimi niko mitaa hihii nimekufata wewe mkewangu watoto wanakuhitaji nyumbani!

Akadai mbona imekua ghafla, nikajibu imenibidi iwe hivoo sababu ukimya wako ulinifanya nihisi vibaya. basi wife akadai muda umeenda sana kwanini tusionane kesho asubuhi!

palepale mdogo wangu huyu ambae ni askari alinipokonya simu, nakuanza kulushiana maneno na mkewangu akitaka aseme yuko wapi muda ule tumfuate alipo. mkewangu akaishia kukata simu, na akawa hapatikani hewani

dah! mapenzi kitu kingine, why luv turn into venom! nitaimalizia nipo
The waves natoa stress🙁
Hapo majibu yapo wazi kabisa kazi ipo kwako tu kufanya maamuzi
 
Kataa ndoa,wana hoja,wasikilizwe.Nini maana ya ndoa,kama mke anaweza akagawa hovyohovyo?
Dodoma wanandoa wanasalitiana in the name of niko Dodoma kikazi.
 
Huyu jamaa kakimbia uzi wake. Popote mtakapo muona. Mumukumbushe aje amalizie uzi wake
 
3:Simulizi sehemu ya tatu ya mgogoro wa ndoa yangu.


Basi baada ya kupokea simu ngeni yenye maelekezo alipo mkewangu, nikawatarifu wadogo zangu pamoja na yule mshikaji uelekeo wetu ukawa ni maeneo ya makole (near pssf tower) pale pale dodoma

Kitu ambacho sikutaka kitokee ni aibu mbele ya hawa wadogo zangu , nikajaribu kupiga namba ya wife mybe nimpate hewani ,bahati nzuri simu ikawa inaita baada ya muda akapokea .

Mkewangu akawa anazungumza kama katoka usingizini,tena usingizi mzito huku akidai kazi zime mchosha. Basi nikamuuliza ukowapi mda huu!?

Akanijibu nipo sehemu × , nimaarufu sana kwa mitaa ile, nikamjibu kuwa hata mimi niko mitaa hihii nimekufata wewe mkewangu watoto wanakuhitaji nyumbani!

Akadai mbona imekua ghafla, nikajibu imenibidi iwe hivoo sababu ukimya wako ulinifanya nihisi vibaya. basi wife akadai muda umeenda sana kwanini tusionane kesho asubuhi!

palepale mdogo wangu huyu ambae ni askari alinipokonya simu, nakuanza kulushiana maneno na mkewangu akitaka aseme yuko wapi muda ule tumfuate alipo. mkewangu akaishia kukata simu, na akawa hapatikani hewani

dah! mapenzi kitu kingine, why luv turn into venom! nitaimalizia nipo
The waves natoa stress🙁
Daah alikuwa kwa kidume anazagamuliwa alooh ulikosea kutrap
 
Rudi mkuu utupe feedback kabisa uzi ufungwe , je ulisibitisha kaliwa? Je ajabdilika apo nyumbani ila mzee pole sana ilo gume gume walai na kashajuwa anakumudu
 
Kwa mahusiano ya miaka ya hivi karibuni kuchapiwa ni sehemu ya mapenzi , uwe na pesa uwe broke utachapiwa tu ni muda fasaa wa kuchange mindset tu phycologically. Cha msingi heshima/secrecy.
Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.

Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.

Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.

Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
 
Ndugu zangu hakuna rangi naacha kuiona hapa ndani, mke wangu aliniaga kuwa ana safari ya kikazi jijini Dodoma kwa muda wa wiki moja.

Cha ajabu nilianza kumstukia wife kila ikifika mida ya usiku simu yake ilikuwa haipatikani hewani. Mimi nikawa mkali sana na kumfokea, yeye akanijibu ikifika mida ya jioni anakuwa amechoka na kazi za kiofisi na kuamua kupumzika.

Juzi juzi nilipiga simu mida ya sa 12 :30 hivi nikawa nasikia makelele ya muziki "We zombi haujui eti Simba Simba Dangote" nikahoji ukowapi mwenzangu? Mkewangu akageuka mbogo hapo hapo na kuwa mkali, huku akinituhumu kuwa nimezidisha wivu, kiasi kwamba hapumui eti nina mapenzi ya kizamani.

Yani hapa moja haikai, mbili haikai, natamani hata kwenda Dodoma muda huu ila sijui yuko wapi!
Utakuwa humpi mikito mizto, ukitaka heshima kwenye ndoa kwanza uwe unachakata vzr papucha yaan utaheshimiwa sna hata atakapokuwepo atakuwa anakukumbuka ndio kitu kikubwa muhimu
 
Anatombwa moja kwa moja hakuna kumungunya maneno, hakuna sehemu wake za watu wanaliwa kama dodoma hasa kipind hich makao makuu yamehamia huko, namshauri bwana robertinho arud kwao atakufa kwa pressure
Kama hatombwi vzr akaponee wapi? Inabidi rfk yako aongeze maujuzi
 
Hapo cha msingi elewa kwamba AMEENDA DODOMA KIKAZI + STAREHE NA MTU WAKE ukitaka kubali ukitaka kataa. Usijipe atress na mtu mmoja ikiwa dunia ina watu zaidi ya 8B..
 
Back
Top Bottom