Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Hapo majibu yapo wazi kabisa kazi ipo kwako tu kufanya maamuzi
 
Kataa ndoa,wana hoja,wasikilizwe.Nini maana ya ndoa,kama mke anaweza akagawa hovyohovyo?
Dodoma wanandoa wanasalitiana in the name of niko Dodoma kikazi.
 
Huyu jamaa kakimbia uzi wake. Popote mtakapo muona. Mumukumbushe aje amalizie uzi wake
 
Daah alikuwa kwa kidume anazagamuliwa alooh ulikosea kutrap
 
Rudi mkuu utupe feedback kabisa uzi ufungwe , je ulisibitisha kaliwa? Je ajabdilika apo nyumbani ila mzee pole sana ilo gume gume walai na kashajuwa anakumudu
 
Kwa mahusiano ya miaka ya hivi karibuni kuchapiwa ni sehemu ya mapenzi , uwe na pesa uwe broke utachapiwa tu ni muda fasaa wa kuchange mindset tu phycologically. Cha msingi heshima/secrecy.
 
Utakuwa humpi mikito mizto, ukitaka heshima kwenye ndoa kwanza uwe unachakata vzr papucha yaan utaheshimiwa sna hata atakapokuwepo atakuwa anakukumbuka ndio kitu kikubwa muhimu
 
Anatombwa moja kwa moja hakuna kumungunya maneno, hakuna sehemu wake za watu wanaliwa kama dodoma hasa kipind hich makao makuu yamehamia huko, namshauri bwana robertinho arud kwao atakufa kwa pressure
Kama hatombwi vzr akaponee wapi? Inabidi rfk yako aongeze maujuzi
 
Hapo cha msingi elewa kwamba AMEENDA DODOMA KIKAZI + STAREHE NA MTU WAKE ukitaka kubali ukitaka kataa. Usijipe atress na mtu mmoja ikiwa dunia ina watu zaidi ya 8B..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…